Wangu Lyrics by NADIA MUKAMI


Hee mmmh Sanaipei, Nadia
(Alexis on the beat)

Wewe nani? 
Unanipigia simu kama nani?
Eti niachane mume wako nani? 
Unajua Nadia kweli mi ni nani? 
 
We ni nani?
Unampigia simu kama nani eeh
Ata utoe vya ndani
Atarudi hapa kwangu tu nyumbani eeh

Anapenda vidogodogo
Mwenzako anavimumunya (Munya)
Mwanamke unapenda zogo
Tafuta jambo hilo la kufanya (Fanya)
 
Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu 
Oooh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu
Oooh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu
 
Hivyo vimessage na kuficha simu
Havinishtui (Uuuiii)
Atachoka nawe
Kwengine aende, yule hakagui (Uuuiii)

Kelele ya chura
Haizui ng'ombe kunywa maji
Kwangu habanduki, kwako hatoboki
Nakwama naye!

Anapenda wife material
Mwenzako anakudanganya (Danganya)
Mwanamke una kasoro 
Tafuta jambo hilo la kufanya (Kufanya)
 
Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu
Oooh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu 
Oooh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Mi sitakoma, koma, koma, koma 
Mi sitakoma koma koma mama ye
Ntakukomoa komoa komoa komoa 
Ntakukomoa komoa komoa msichana we

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu
Oooh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

Oooh ni wangu
Huyu anasema ni wangu 
Oooh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Watch Video

About Wangu

Album : African Popstar (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Sevens Creative Hub
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 29 , 2020

More lyrics from African Popstar (EP) album

More NADIA MUKAMI Lyrics

NADIA MUKAMI
NADIA MUKAMI
NADIA MUKAMI
NADIA MUKAMI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl