Ngome Lyrics by JOEL LWAGA


Yafanikiza na nyota za mwanga
Hakuna kile ninokuwa cha macho
Imegauka 

Mali na fedha na vitu vya dhamani
Vimetoweka
Marafiki na wote walionipenda
Wamepotea

Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka 
Gharika na mvua kucheki inazama

Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 

Nilidhani furaha ni watu wakikusifu
Kumbe furaha ni Yesu moyoni yakikusibu
Udhamani haupo kwa vitu visivyodumu
Ila ni nguvu ya kutabasamu hata patupu

Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka 
Gharika na mvua kucheki nazama

Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 

Nimesimama imara (Eeh)
Hofu imeteka nyara (Eeh)
Rohoni niko salama (Eeh)
Na Yesu mwamba imara (Eeh)

Nimesimama imara (Eeh)
Hofu imeteka nyara (Eeh)
Rohoni niko salama (Eeh)
Na Yesu mwamba imara (Eeh)

Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka 
Gharika na mvua kucheki inazama

Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu

Watch Video

About Ngome

Album : Thamani EP (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 01 , 2020

More lyrics from Thamani (EP) album

More JOEL LWAGA Lyrics

JOEL LWAGA
JOEL LWAGA
JOEL LWAGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl