KUSAH Chelewa cover image

Chelewa Lyrics

Chelewa Lyrics by KUSAH


[VERSE 1]
Uuh umeni murder
Nimeishiwa na pozi mie
Nmekosa mada
Nabaki uh kutwa kukuwaza
Tamu usijegeuka shubiri
Moyo utaukwaza (aah eeh)
Wewe ndo jike langu la kopa
Mimi ndo dume lako la shupaza
Na uliko ni mbali njoo
Kabla kiza hakijatanda
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza

[CHORUS]
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa

[VERSE 2]
Jua linazama
Moyo wangu unapwetapweta
Jini kisirani amepata nafasi
Stress za mapenzi zanilemea
Najaribu jidanganya (jidanganya)
Kuku kwa foleni nakaribia
Mimi bila wewe kama bwege
Sina lolote
Ohh baby baby anita
Jaribu kwendaga na mida
Ukinipa vyote barida
Njoo nikudakishe na show
(oh baby)
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza

[CHORUS]
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa

 

Watch Video

About Chelewa

Album : Chelewa (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Dec 11 , 2018

More KUSAH Lyrics

Aga
KUSAH
KUSAH
KUSAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl