JOEL LWAGA Wanitazama cover image

Wanitazama Lyrics

Wanitazama Lyrics by JOEL LWAGA


Mkono wako umenishika
Fimbo yako yaniongoza
Gongo lako lanifariji
Umenisitiri umenifanya hodari

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Akili zangu Zilifika mwisho
Na kuona Mungu hunitazami
Taabuni

Na wanadamu
Wakapata cha kusema kuwa 
Mungu wangu hayupo
Tena nami

Nilipoona ni mwisho
Wewe ukatangaza mwanzo
Nilipodhani ni pigo
Kumbe ni lako kusudio

Kilipozidi kilio
Wewe ukaleta kicheko
Ukadhihirisha kwa macho
Wewe ni langu kimbilio

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Mi ni mboni yako 
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana 

Watch Video

About Wanitazama

Album : Thamani EP (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 31 , 2020

More lyrics from Thamani (EP) album

More JOEL LWAGA Lyrics

JOEL LWAGA
JOEL LWAGA
JOEL LWAGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl