ZABRON SINGERS Sikuachi Tena cover image

Sikuachi Tena Lyrics

Sikuachi Tena Lyrics by ZABRON SINGERS


Tunaishi kwa nguvu za Mungu
Yeye ndo katuweka hapa 
Kila hatua tunapitia ye ndiye mlinzi wetu 
Asubuhi ifikapo hujua siku itaenda vipi 
Je ntavuka salama mchana jioni hata usiku 

Kwa dakika sekunde hujua siku itaenda vipi 
Kupata na kukosa ajua mimi nitapata nini 
Kulala kuamka ajua mimi nitaamka vipi 
Maisha yetu yote Mungu ndiye anazo siri zetu 

Tunaishi kwa nguvu za Mungu
Yeye ndo katuweka hapa 
Kila hatua tunapitia ye ndiye mlinzi wetu 
Asubuhi ifikapo hujua siku itaenda vipi 
Je ntavuka salama mchana jioni hata usiku 

Kwa dakika sekunde hujua siku itaenda vipi 
Kupata na kukosa ajua mimi nitapata nini 
Kulala kuamka ajua mimi nitaamka vipi 
Maisha yetu yote Mungu ndiye anazo siri zetu 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Mwanga wangu wa njia na nyota katika maisha yangu
Ye ni Mungu wa nuru ushindi hata vitu vyote vyake 
Upatacho shukuru ni Mungu ndiye kakuweka hapo 
Usisahau kumtumikia bado ungali hai 

Kumbuka kuna siku utadaiwa kwa matendo yako 
Iweje jema kwa baya watu umewatenda vipi 
Je wazitumiaje baraka ulizopewa na Mungu 
Suluhisho pekee ni Mungu tumpe maisha yetu 

Mwanga wangu wa njia na nyota katika maisha yangu
Ye ni Mungu wa nuru ushindi hata vitu vyote vyake 
Upatacho shukuru ni Mungu ndiye kakuweka hapo 
Usisahau kumtumikia bado ungali hai 

Kumbuka kuna siku utadaiwa kwa matendo yako 
Iweje jema kwa baya watu umewatenda vipi 
Je wazitumiaje baraka ulizopewa na Mungu 
Suluhisho pekee ni Mungu tumpe maisha yetu 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Watch Video

About Sikuachi Tena

Album : Sikuachi Tena (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 17 , 2021

More ZABRON SINGERS Lyrics

ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl