...

Nimemuona Bwana Lyrics by ZABRON SINGERS


Hivi je, waijua sababu, yakuinuliwa kwangu

Kubarikiwa kwangu

Hebu keti tutete pamoja nikwambie

Kuna siri hapa we hujui yu ya baraka zangu

Kuna mungu namjua ni mmoja tu si sawa na wengine

Hapangiwi na mwingine haweza kumpa mwingine

Hivyo, tulia tuli tulia shikilia hapo tulia

Ukiw na mungu tulia atakuletea mengi

Nimemuona huyu bwana akitenda kwa wengine

Na mimi amenikumbuka, ndio maana nasimulia

Umeona nini ulipo?

Nimemuona bwana, akitenda katika maisha yangu

Umeona nini ulipo?

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Umeona nini ulipo?

Nimemuona bwana, akitenda katika maisha yangu

Ee tunajivunia, matendo yake bwana

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Na tukikutana kuabudu, wasogea karibu

Ili bwana ugange mioyo yetu

Bwana hakuna usilowezan pekee unaweza

Hivi bwana nitarudisha nini

Umetukuka juu mbinguni duniani kila mahali

We mungu ni mungu wa uweza

Tena bwana hupangiwi na mtu jua lina kutii

Milima bahari vya kutii

Siwezi sema mimi

Mambo mamgapi

Umenitendea

Nakushukuru, ndio maana naimba

Nikusifu wewe

Nimemuona bwana, akitenda katika maisha yangu

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Watch Video

About Nimemuona Bwana

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Apr 01 , 2025

More ZABRON SINGERS Lyrics

ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl