Nahisi Lyrics by YOUNG KILLER


 

Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Ha!Nimesharealize you are beatiful sexy
When I close my eyes, I see your face
For the first time nahisi kwenda mitandao
Before kumeet mlimani City ni we wanao

Then tukaenda klabu ukawa unapita pita
Unanipima kiuno na mbavu nikawa nashika shika
Nikaomba uwe wa ubavu ukawa unasita sita
Unanipa mdomo na shavu nikapiga lita
Alafu ukaondoka mamacita

Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Huh, kuna siku pale kwenye bucha, nakuita unang'ata kucha
Ukayeyusha basi sijalala usiku kucha
Pandisha pedo pusha, aah-ah nyonga zungusha
Unaonekana kitandani huwezi niangusha

Umenidilute, soda na chai
Sikupi nafasi unitese ka najinyonga kwa tai fupi
Unakaa mtaa upi? Au pale Kailuki
Ulipokuwa na mama cookie

Ile siku ulikuwa na nywele ndefu
Unacheza peku, 
Unazungusha unaringa

Nilikutamani upajue kwetu
Uonane na bibi yetu
Ila nikakuita ukaringa

Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Nahisi ka tushaonana zamani
Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali
Na si kwa ulevi
Ila nayalaumu macho yangu
Naomba unikumbushe jina lako ni nani?


 

Watch Video

About Nahisi

Album : Nahisi (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 06 , 2019

More YOUNG KILLER Lyrics

YOUNG KILLER
YOUNG KILLER
YOUNG KILLER
YOUNG KILLER

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl