IBRAAH Hapa  cover image

Hapa Lyrics

Hapa Lyrics by IBRAAH


Kama hujaanza me nishaanza kwenda
Kama hunipendi me ninakupenda
Huwawawa

Ah
Baby baby
Sogea karibu nikunongoneze sweet
You look so fine
Ungekuwa nguo ningevaa nipendee, cute baby
Wewe ndio changu kidege
Umenikamata sifurukuti
Baby weweeee
Changu chako chako changu
Unanibana pete tamu yangu
Kwani hujui we ndio msiri wangu
Unanitembeza kwenye tope
Kwa nguu aibuu baby

Hata wakisema waambie
We ndio kiboko ya mimi
I swear unanikosha bibie
Mwenzako nimekula yamini
Me napenda ukisema
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Eti una enjoy tam tam
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Ah, baby
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Eti ni tam tam una enjoy
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Aaaahh hapa

Eh
Kiburi hakijengi baby
Na wala mapenzi hayaendeshwi kwa hasira
Nitaenda wapi baby
Kwako milembe unanipa tiba tahira
Sijui nikupendeje maana moyo
Unaona ushakupenda na ushamaliza
Wananita bwege
Marafiki wanadai nakupenda kupitiliza
Baby eti nakudekeza sana, nakudekeza sana
Baby hata ndugu na jamaa
Wanasema umenipa chaundani
Changu chako chako changu
Unanibana pete tamu yangu
Kwani hujui we ndio msiri wangu
Unanitembeza kwenye tope
Kwa nguu aibuu baby

Hata wakisema waambie
We ndio kiboko ya mimi
I swear unanikosha bibie
Mwenzako nimekula yamini
Me napenda ukisema
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Eti una enjoy tam tam
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Ah, baby
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Eti ni tam tam una enjoy
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Aaaahh hapa
Me napenda ukisema
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Eti una enjoy tam tam
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Ah, baby
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Eti ni tam tam una enjoy
Nikushike hapa hapa
Hapa na hapa
Aaaahh hapa

Watch Video

About Hapa

Album : Hapa (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Sep 15 , 2023

More IBRAAH Lyrics

IBRAAH
IBRAAH
IBRAAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl