...

Keki Lyrics by WILLY PAUL


Kwa mapenzi nimeoga mama

Ona mwili wangu unavyo waka waka baby

Kwa mapenzi umeniweza

Ona mwili wangu unavyo tetemeka baby

Usiulize kwanini na zubaa kwa mapenzi

Inarun dunia haya

Mapenzi imepandisha speedometer mummy

Imepandisha haiya

Pengine baby me sioni umenishika mateka

Kadogo lie lie lie

Pengine me sina maoni yaani moyo ushapenda

Kadogo lie lie lie

Sherry kwa penzi lako natokwa wazimu

Kila unaponipa mama naguna kama bubu

Baby coz of you

Aah mama keki keki

Wewe mtamu kama keki keki

Aah unavyoseti keki

Tam tam kama keki (keki)

Aah mama keki keki

Kwangu baby nakumeddy (keki)

Napenda vile unaseti (keki)

Wewe mtamu kama keki (keki)

Usiku joto tu hee

Hata sitaki blanketi (keki)

Unipe kwa fujo tu hee

Napenda unavyoseti (keki)

Kupa kupa kupa

Mtoto wa Diana amefall in love kama chizi kama chizi

Kushoto kulia ni wewe napenda my lady

Tangu nimekupata mwenzangu Kila siku na labata baby

Daily nakufwata ingawa najua wengi wanakutaka baby

Tangu nimekupata mwenzangu kila siku na labata baby

Daily nakufwata ingawa najua wengi wanakutaka baby

Aah mama keki (keki)

Wewe mtamu kama keki (keki)

Aah unavyo useti (keki)

Tam tam kama keki (keki)

Aah mama keki keki

Kwangu baby nakumeddy (keki)

Napenda vile unaseti

Wewe mtamu kama keki

Usiku joto tu hee

Hata sitaki blanketi (keki)

Unipe kwa fujo tu hee

Napenda unavyo seti (keki)

Watch Video

About Keki

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 13 , 2025

More WILLY PAUL Lyrics

WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl