Mfariji Wangu Lyrics by WALTER CHILAMBO


Asante Yesu
Libarikiwe jina lako bwana
Uinuliwe Bwana
Mungu Baba Mtakatifu
Uliemwema na mkamilifu
Mungu Baba na Roho Mtakatifu
Uletae uhai
Mfariji wa kweli
Wewe ulietabibu
Unaeganga mioyo yetu
Uliemwema wakati wote
Ata sasa  ooh Bwana
Ulieweka mchana na usiku
Ujuae mwanzo na mwisho wetu
Wakati wa furaha na uchungu
Utabaki kuitwa Mungu

Ni wewe, Ni wewe Bwana
Ni wewe, Ni wewe Bwana
Hakuna kama wewe
Ni wewe, ni wewe Bwana
Ni wewe, ni wewe Bwana

Ninaposema wewe ni Bwana
Ni kweli namaanisha
Maana haubadilishwi na mazingira
Wewe wayabadilisha
Unaweza badilisha uchungu
Unaweza badilisha mateso kuwa furaha
Kilio kuwa kicheko
Unaweza badilisha huzuni
Machozi yanaotoka yakamiminika kama mito kuwa Amani
Wewe ni mfariji
We ndiye Amani
We ndiye Amani
Hakuna zaidi yako

Wewe Ni Wewe Ni Wewe Bwana
Ni wewe, Ni wewe, Ni wewe Bwana
Unaetupa Amani ya kutosha
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana
Rafiki, Rafiki, Rafiki wa Kweli
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana

Watch Video

About Mfariji Wangu

Album : Mfariji Wangu (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Mar 24 , 2021

More WALTER CHILAMBO Lyrics

WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl