...

Usichelewe Lyrics by WALTER CHILAMBO


Aaaah

Walter tenaaa

Mungu wangu

naomba niongee na wewe

Hata kidogo

Nasikia uchungu ndani ya Moyo

Mambo yamekuwa mazito

Na siwezi peke yangu

Naona maumivu ndani ya moyo

Na umesema walipo wawili wewe upo

Najiuliza nikiwa peke yangu je we upo?

Ni kweli na imani

Lakini kuna muda nachoka

Na si kwamba sikuamini

Nakuamini sanaa

Nimeomba,nimefunga na nimetoa sadaka

Ila mambo yanayumba,fanya hima uje haraka

Basi uniambie mi (Ni wapi nakosea)

Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)

Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)

Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuomba

usichelewe...( nachoka, nachoka )

usichelewe...( tazama moyo umechoka )

usichelewe...( nitangoja, ntangoja )

usichelewe...( Mi mwanao bado ntangoja )

Wenzangu wana marafiki

Wa kuwaambia shida zao

Na mimi we ndio wangu RAFIKI

Ninakuambia haja zangu

Siulisema

Utanibariki mjini na mashambani

Siulisema

Niingiapo na nitokapo nitabarikiwa

Siulisema

Fedha na dhahabu vyote ni mali yako

Siulisema

Nikiomba utanipa zaidi ya niombavyo

Nimeomba,nimefunga na nimetoa sadaka

Ila mambo yanayumba,fanya hima uje haraka

Basi uniambie mi (Ni wapi nakosea)

Baba uniambie mi (Niwapi nakosea)

Yesu uniambie eehh (Niwapi nakosea)

Baba uniambie Mi niwapi nakosea nakuomba

usichelewe...( nachoka,nachoka )

usichelewe...( tazama moyo umechoka )

usichelewe...( nitangoja ,ntangoja )

usichelewe...( Mi mwanao bado ntangoja )

Watch Video

About Usichelewe

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Mar 26 , 2025

More WALTER CHILAMBO Lyrics

WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl