...

Sijawahi Ona Lyrics by WALTER CHILAMBO


Sijaumbwa kwa bahati mbaya

Aah jamani napendwa

Hivi hivi nilivyo

Mungu ananipenda

Pamoja na madhaifu yangu

Lakini napendwa

Hivi hivi nilivyo

Mungu ananipenda

So ukinidharau,we nidharau tu

Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu

Na ukinicheka,we nicheke sana

Hizo kwa Mungu kelele tu

Hazinisumbui wala

Mungu wangu halali

Mungu wangu hasinzii

Na akisema anakubariki

Hakuna wakuzuia

Mungu wangu hashindwi

Mungu wangu hapangiwi

Neno lake halijawahi kupita

Bila kutimia....sijawahi ona

Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)

Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)

Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)

Sijawahi ona aah aaah (baba baba baba)

Wewe umesema akutegemeaye

Haumuachi ng'o aah aaah

Akutegemeaye Haumuachi ng'o

Na tukiomba kwa bidii

Tena kwa kumaanisha

Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo

Nakosaje ujasiri ndani

Nimembeba mtu wa maana

Naanzaje ...naanzaje

Hatua moja huanzisha nyingine

Na nyingine ananipa mwenyewe

Naachaje ....naachaje

Mungu wangu halali

Mungu wangu hasinzii

Na akisema anakubariki

Hakuna wakuzuia

Mungu wangu hashindwi

Mungu wangu hapangiwi

Neno lake halijawahi kupita

Bila kutimia....sijawahi ona

Sijawahi ona aahh aahh (mungu kama wewe aahh)

Sijawahi ona aaah aah ( mimi aah)

Sijawahi ona aaah aahh (upendo kama wako)

Sijawahi ona aah aaah (Baba baba baba)

Watch Video

About Sijawahi Ona

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright :
Added By : Farida
Published : Sep 20 , 2024

More WALTER CHILAMBO Lyrics

WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl