X Bosses Lyrics by WAKADINALI


My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana
My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana

Nakumbuka nikiwa baze time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu
Nakumbuka nikiwa jaba time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu

Mama Uhuru sisi ni mahuru na anajua
Hizo game mbaya na anazijua
Mbunge wa Mhaya ananijua
Sisi huendea stock kukuwe mvua au jua

Pullup kwenye upblocks, boyz ndani ya .44s 
Chunga usindunge kwenye portal
Munga unakuja na maglock jo 
Odi wa Murang'a alikushow 
Niko na craving ya kagoks jo

Arif alikatazangwa na mokoro
Kutembea na mimi is a no no
Nilireceive transaction 
Ka kitu kadogo US toka kwa morio
Arif ananidrip magoro, ati Dosh kula hiyo tommorrow
Akili silly siko greasy looking kinda busy
Hii ni hiliki hii ni pilipili hailiki

My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana
My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana

Nakumbuka nikiwa baze time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu
Nakumbuka nikiwa jaba time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu

Okey real recognise real
Tukipatana huwaga feeling kinda big deal
Mambo grand kazi kama kawa tena big Lit
Iller than most wasee wajawai tisha Sidney

Nikisambaza unasoak, nikicheki time nishaku 3 nil
Na ka ni approach we tu kam ka unafeel free
Shika magari tushika madema au tununue mali
Kuishi na regrets kumbuka the days utalilia nani

Now catch me in the benzo ka ni keroma sikunywi Lejo
Nataka kupiga simu shika simu sikosi kredo
Unasema nimechange ati Mic Eazy uko na mapetho
Coz I be my own boss, nikikumbuka kuishi ni ghetto
Kumbuka nikiwa alone nikiandika
Hizi flows tutapachika hizi shows tutachachisha
Hey everybody getting down in the party
Mambo Grand wakadinali, Mic 1 got to look

My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana
My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana

Nakumbuka nikiwa baze time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu
Nakumbuka nikiwa jaba time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu

Ey siko Nai niko Odhumo
Uh ju lanbda huku ilirumo
Bado bado Rong Rende pale Umo
Natoanga usoo nikichomaga Mugumo

Sina was mi sipangii masiku
Msupa amecatch ju silambagi hiyo kitu
Iwe jua ama mvua sina issue
Wananijua mi nikiwa mabangi ni ma bigtune

We si bro we ni nephew 
Na kama huamini hii rende ni rong nigga F.U
Nakumbuka X bosses wakinitolea stress yote
Mi na hustle excess na si-take losses
Unapigwa 'Chhh' bare hapa hatu-take nonsense
Ushai bambwa na wife anaexpect mtoke
Bro alimadwa na matha alikuwa anamexpect shoke

My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana
My X bosses siku hizi wanacall my phone
Siku hizi unaringa sana

Nakumbuka nikiwa baze time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu
Nakumbuka nikiwa jaba time flani 
Zilikuwanga siku za maajabu

Nakumbuka!

Watch Video

About X Bosses

Album : Haitaki Hasira/ X Bosses (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Zoza Nation.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 06 , 2020

More WAKADINALI Lyrics

WAKADINALI
WAKADINALI
WAKADINALI
WAKADINALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl