Mashetani Lyrics by WAKADINALI


Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali
Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali
Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali
Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali

Jacko kubwa na para natry tu kujificha
Duff mpararo nilikuwa naswim ka mchina
Mchinku sisi mwitu politics
Wanatuweka kwa crisis, tunacry sisi

Ilikuwa ni situation, si unajua watu hawaelewangi
Ilikuwa ni situation, si unajua watu hawaelewangi
Ilikuwa ni situation, si unajua watu hawaelewangi
Ilikuwa ni situation, si unajua watu hawaelewangi
Ni situation

Get your education to teach the others
Si life huku ghetto hukuwanga tu hazard
Kuput food on the plate manze jo ni blunder
Tunalive hand to mouth kama rasta na shada

Sikudhani lazima ukuwe na muscle
Ukitaka castle lazma uchape hustle
Big up soldier man wake 24/7
365 ukivumilia njeve

Siwezi doz ka sijaskia risasi
Huku kila siku tunaishi na mikosi
Ati Pinchez na steppa walichai maponyi
Na Maponyi ako wapi? Hizo sides za Doni

After kusota alinitoka right fast
But nikizishika ukinicall na divert
Rap inaflow kwa damu so mi sidai class
Na unaeza ni hire ka bado unadai verse

Then nyi manigga mnakam mki act draft
Ukapi nikichekesha hairudi bila damu
Alafu booth nikispit utadhani nimejam
Mistari zimestick unaeza shikanisha na gum

Die hard soldier mi siplan kureturn
Ju vita ni illest na sina ma kwa gun
Then mi huzipurura mashash mi huziburn
Plus mi hupurura na sijawai tukanwa na fan

Ilikuwa ni situation, si unajua watu hawaelewangi
Ilikuwa ni situation, si unajua watu hawaelewangi
Ni situation

Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali
Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali
Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali
Youths how de gwom za umashetani
Ju how often tutafurahia serikali

Cheki gava imetarore
Omo ni kidogo mtaani wanalarore
Hakuna waba, wanaijin watoto wazee wanadiore
Mayouth mtaani ju ya mawe, hanaku wera wamebomore
MCA amehepa ametrrr amejificha ameponeree

Wanafanya napiga mboka chafu ndio nisurvive
Aki walai wanadigi moja naglind hio si fine
Hio si ikae yeah yeah
Boom boom, mr boom boom...

Watch Video

About Mashetani

Album : Exposed (Munga's Revenge) (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Zoza Nation/ Rong Rende
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 30 , 2021

More lyrics from Exposed (Munga's Revenge) album

More WAKADINALI Lyrics

WAKADINALI
WAKADINALI
WAKADINALI
WAKADINALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl