WAKADINALI Dilated cover image

Dilated Lyrics

Dilated Lyrics by WAKADINALI


Ni kama leo mabunduki ndio zilikuwa zinafanya kazi
Pupupupu, pu pu pu pu, si watu watakufa 
Sasa sisi, mimi mtu kama mimi sina bunduki
Kwa hivyo DCIO, DCI wakuje atusaidie

(Alex Vice)

Si hukam na mamacho dilated
Of course utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Si hukam na mamacho dilated
Of course utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Napiga lap Nairobi maithaa mbaya kama hell ya Covid
Area code ni maili ya saba Android ilipeana mbogi
Kikosi haikosi kusambaa panga, ukiresist kwa lobby
Shori alitaka namba amezoea kuchimba, akachimbe fossils

Walifuatwa kutoka Outta 
Wakamadwa Kagundo Road Mowlem
Early sato morning Ali alishtuka Hessy amemoket
Spider weapon gun imported we una AK 47
Usipatwe ogopa open naskia kuna msako baada ya ni saa 7

Leo tuko ndani ya keja hatutoki 
Jeshi iko handas na choki
Mbleina alikuliwa toja, toki, talker copper na koti
Jeshi ya Koja, tuko Tom Mboya unless ni bigi missioni
Tourist mwenye aligongwa na hawker akatoboka madollar sorry

Welcome to Nairobi though, chunga pori yoh
Giza kwa corridor arif aligeuziwa na morio
Android ilipigwa tapo chokoch alichumia Landies Road
Si uliambiwa ungafu diro, madam huku hatuko Otedo

Si hukam na mamacho dilated
Of course utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Si hukam na mamacho dilated
Of course utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Chuom tunashinda zimecrome na makiller
Anti-terror units si wanajua Munga ni pro man a Driller
Tortoise amphibian ni chura
Bonnie and Clyde ni tuvamie mashuttles

Ujue ka ulinitusi we ndo fala msee
Juzi nikidandia mathako
Facebook ni Free mode 
Usiongelelee air pros

Kama hujaioganga na Omo ama ujipake Kimbo
Usiniambie about struggle
Bonga mafi na we ni wa kukuja
Tumeosha kuzoza labda uume mboch

Umenyonga monkey na uko lockdown
Mpaka umechoka
Mtaani ni gang run, ukishukiwa ni unyurie
Kuna siku Munga nilitry kutetea msee
Huyu ameshikiwa bure
Fck it pingu zililand mi nikafungwa shoe lace

Kwa kina snitch tulibisha
Anadai angejisqueeze na dirisha
Ngeus alidhani tumechat tangu mchana
Amenikalisha mi nashikisha

Fans KOT wanadai kuskia 
Miracle baby alidare
This is unfare, shori alikujia kuni
After ashakukula fare
Hii raha ina Corona, nmasuti and tie
Mradi koroga na different supplier

Si hukam na mamacho dilated
O fcourse utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Si hukam na mamacho dilated
Ofcouse utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Pullup kwa nduthi pah pah pah 
Of course ni mchana
Victim alikuwaga mrahisi kuonekana
Ju anapenda fashion sana

Mi na X boss wangu tulishakosana
Of course nilimsanya 
Bro ni Samurai jack akishika panga
Manze ni mkosi team hana

Si guan tumepiga tukisababisha
Mpaka machuja zinatupa
We umekwom na manigga ati kunitisha
Na mi nimekuja na msupa

Kuona maziwa tunafanikiwa
Nyama tunakula na mfupa
Ndom naririma, jaba nashikisha
Pombe tunaikunywa kwa chupa

Kukuja nitakuja manze na mi sitatambua
Juzi mbang'a angenisare but
Nilimuuliza malaya unanishika unanijua?
Uliza Munga avocado zetu ukifinya unanunua

Napuliza gunga sababu tosha
Nipe Mola hii sifa na dua
Vibe iko sure, hii ndo masaa ukinicall niko mteja
Hustahili kuzua mi na budako hukunywa busaa na huko Kakamega

Hii kelele iliwalemea 
Ndio maana mliamua kuilenga
Kiterere nikiteleza na rende 
Lazima kutesa 

Si hukam na mamacho dilated
Of course utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Si hukam na mamacho dilated
Of course utaitana
Karao alihate mabro warelate
Ju mabro marijuana

Nguna ana fake accent
Lakini amejaribu
Ka uko na chest pains 
Sasa acha tukujibu tunatibu wivu

Watch Video

About Dilated

Album : Victims of Madness (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) Rong Rende/ Zoza Nation
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 30 , 2020

More lyrics from Victims of Madness album

More WAKADINALI Lyrics

WAKADINALI
WAKADINALI
WAKADINALI
WAKADINALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl