Saa Moja Lyrics by VINTAGE CLAN


On a Vintage clan
Eh man ah badman ting
Baba Otis, Baba Otis
Mbona unarausa kabla hujarauka

(Eeh eeh eeh Vintage)
(Acheni kuchezea watu wazee, aiii)

Kukuru, kukuru, kuku kakara (Rrraah!)
Na kajogoo kameleta muhathara (Rrraah!)
Shaghala, shaghala bhaghala (Rrraah!)
Comrade tialala...

Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja
Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja

Ona dem mmoja mweusi makara (Makara!)
Mi si babako unaita nani kijanaa (Kijanaa!)
Uliza nyanyako hizo marks shigana (Shigana!)
Okwonko ako na lines na ye kiparaaa

Na ka Jesus naeza kucross
Na ka ma one-on naeza kufloss
Na ka omo niko on toes
Ka tomato naeza kusos

Kukuru, kukuru, kuku kakara (Rrraah!)
Na kajogoo kameleta muhathara (Rrraah!)
Shaghala, shaghala bhaghala (Rrraah!)
Comrade tialala...

Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja
Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja

Sei kiganja, Ganja
Ganja, ganja, ganja
Baze tukibanja, banja
Banja, banja, banja

Duri iko na puncture ju ya ganja
Itabidi kikiraka sina hanjam
Kunyi iko na fracture after jamdown
Ulibonywa kwa kichaka uko handsome

Ndo utajua ni rapture, bila rabsha
Hurry hurry hurry chapchap, hurry chapchap
Mare mare mare hamsa, mare hamsa
Ficha nare kwa kinyasa nina answer

Kukuru, kukuru, kuku kakara (Rrraah!)
Na kajogoo kameleta muhathara (Rrraah!)
Shaghala, shaghala bhaghala (Rrraah!)
Comrade tialala...

Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja
Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja

Atoti! Toroka toroka
Polisi! Wamegoroka goroka
Na Oti, ana mochoka mochoka
Ugali, Kwamboka Kwamboka

Ti-ti, kumbe ilikuwa teargas
Polisi, shike kama stickers
Mpenzi alifyatia class
Ongeza tuki-minus ia plus

Kukuru, kukuru, kuku kakara (Rrraah!)
Na kajogoo kameleta muhathara (Rrraah!)
Shaghala, shaghala bhaghala (Rrraah!)
Comrade tialala...

Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja
Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja

Tinga tinga siasa za Raila
Timba Timba lagunya Caterpilla
Chete daggar ni mi nakatika
Benzema husugua fimbo na mafuta ya kupika

Ndu, ndu, ndukulu
Kemba sanse tunatoka puthu tu
Chu chu, chubulu 
Hivi ndo ki huzama kwa ubongo tu

Kukuru, kukuru, kuku kakara (Rrraah!)
Na kajogoo kameleta muhathara (Rrraah!)
Shaghala, shaghala bhaghala (Rrraah!)
Comrade tialala...

Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja
Saa! Saa! Saa! 
Saa moja, ni saa moja

Ashy amka bana, tunadai ku-record bana!
Ashy amka bana ku-record bana!

Watch Video

About Saa Moja

Album : Saa Moja (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Wanati.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 13 , 2020

More VINTAGE CLAN Lyrics

VINTAGE CLAN
VINTAGE CLAN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl