RAWBEENA Mahaba cover image

Mahaba Lyrics

Mahaba Lyrics by RAWBEENA


Na mapenzi yanabana
Yanachanganya akili
Washa hisia ukaraha 
Yaani tamu pilipili

Si unajua vile nakufeel yoh
Oooh nakufeel
Si unajua kwako sina kilio
Sina akili

Usiku kucha nakuwaza 
Itakuwa vipi ukiondoka?
Sa sitakuwa sina maana 
Nitatembea na robokaa

Leo kifani kwako najilaza
Sitaki hata kuchoka
Sa usijefanya vioja
Ndo itakuwa tareeta

Unavyonipea raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Unavyonipa raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Na moyo huu mi nakupatia 
Kamata, kazi simamia
Hakuna siku utakuja lia 
Nakataa, nimekuridhia

Na penzi tamu unapoingia matata
Changanya hisia
Niwe wa kwako tena kumbatia mbambata
Aii my dear

Na kwenye penzi nimeshazama
Sisikii sioni
Napendaga usiku ukinitazama
Tukiwa ndotoni

Nakula raha naenjoy nyama
Nakulamba kuni
Si unajua ya mambo na mtu na mtu
Ndio maana sioni

Usiku kucha nakuwaza 
Itakuwa vipi ukiondoka?
Sa sitakuwa sina maana 
Nitatembea na robokaa

Leo kifani kwako najilaza
Sitaki hata kuchoka
Sa usijefanya vioja
Ndo itakuwa tareeta

Unavyonipea raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Unavyonipa raha
Naenjoy mahaba
Usije nitenga
Tuenjoy mahaba

Watch Video

About Mahaba

Album : Mahaba
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 01 , 2020

More RAWBEENA Lyrics

RAWBEENA
RAWBEENA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl