RAWBEENA Kiboko cover image

Kiboko Lyrics

Kiboko Lyrics by RAWBEENA


Rawbeena - Kiboko lyrics

Usisikie maneno 
Ya watu utaumia
Maana wao wadandia sana 
Za kwetu dua mmmh

Penzi langu kwako la dhamani 
Niwe na wewe 
Napokosea naomba samahani
Mpenzi usinizime

Wewe ni kiboko
Weupe wa penzi lako kama mwanga angani
Mi sitoi boko
Ucheshi mahaba yako nikufananishe na nani?

Wewe ni kiboko
Weupe wa penzi lako kama mwanga angani
Mi sitoi boko
Ucheshi mahaba yako nikufananishe na nani?

Aaah eeh, aah eeh
Utamu wa samaki ni kula kwa wali eeh
Aaah eeh, aah eeh
Usizidishe ziki nikawa mkali eeh

Aaah eeh, aah eeh
Si utamu wa samaki ni kula kwa wali eeh
Aaah eeh, aah eeh
Liamini penzi lako limenipiga kabari

Si vibaya kukusifia 
Kwani wewe ndiwe wangu(Aaah eeh)
Ni vingi umejaliwa 
Vinavyovutia moyo wangu(Aaah eeh)

Hakika uzuri wako 
Umedhibiti matamanio yangu
Tena mitajo ya penzi lako
Kuna miasho kwako mimi sichomoi

Wewe ni kiboko
Weupe wa penzi lako kama mwanga angani
Mi sitoi boko
Ucheshi mahaba yako nikufananishe na nani?

Wewe ni kiboko
Weupe wa penzi lako kama mwanga angani
Mi sitoi boko
Ucheshi mahaba yako nikufananishe na nani?

Aaah eeh, aah eeh
Utamu wa samaki ni kula kwa wali eeh
Aaah eeh, aah eeh
Usizidishe ziki nikawa mkali eeh

Aaah eeh, aah eeh
Si utamu wa samaki ni kula kwa wali eeh
Aaah eeh, aah eeh
Liamini penzi lako limenipiga kabari

Watch Video

About Kiboko

Album : Kiboko (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 14 , 2020

More RAWBEENA Lyrics

RAWBEENA
RAWBEENA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl