Amenifanyia Amani Lyrics
Amenifanyia Amani Lyrics by PAUL CLEMENT
Amenifanyia amani
Amenifanyia amani
Kaondoa huzuni yangu
Kanifanyia amani
Nijapopita kwenye bonde la mauti
Sitaogopa maana wewe uko nami
Gongo lako na fimbo yako
Eh Bwana vyanifariji
Wanifanyia amani
Umesema ya kwamba hutaniacha
Sababu mimi ni mboni ya jicho lako
Bwana wanitazama asubuhi mchana jioni
Eeh Bwana kweli Mungu wa baraka
Amebadilisha uchungu wangu
Umekua ni furaha yangu
Huyu Yesu amenipa furaha Kanifanyia amani
This Jesus gave me joy
Amebadilisha machozi yangu
Yamekuwa ni furaha yangu
Huyu Yesu amenipa furaha kanifanyia amani
Furaha unipayo siyo kama ya dunia hii
Amani unipayo siyo kama ya ulimwengu huu
We waniganga moyo nipatapo uchungu
Wanifanyia amani You grant me peace
Amenifanyia furaha He has granted me joy
Kaondoa huzuni yangu
Kanifanyia furaha
Watch Video
About Amenifanyia Amani
More PAUL CLEMENT Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl