JIPIN Anthem Lyrics by ODI WA MURANG'A


Odi wa Murang'a, Okonkwo
(Magix Enga on the beat)

[Odi wa Murang'a]
Nataka leo goshodo awike, jua nimejipin
Nataka leo niwajibike, jua nimejipin
Nataka leo ububujike chozi ndo nitii
Ju hii masaa niko fly na chamo kwa genes

I say 1, 2, 3, warazi wajikate
I say 4, 5, 6, niteke walami
Nyege ndo bidii, acha nimpakate
Mi na mbogi yangu nacheki tushajihami

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

[Ssaru]
Ni risky kama sote tuko tipsy
Alafu buda nakucheki unakaa fiti
Nakuja na kiss naeza kuja na ka whiskey
Sa ata ni kwa balcon ni tumalize kwa kiti

Naipenda ati ju iko na choco flavour
Hii ndo inafanyaga hadi msupa analegeza
We ni marinate tu na supu ya mabenda
Staki ata tudate ju uko safe nakupenda

Sa baby umejipin we get freaky
Tuanzie hapa kwa chin take your time hii sio quickie
Nimejaza stock uko na kiss kama fifty
Nataka uperform nipe strokes tu za wiki

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

[Mejja]
Wobble it, wobble it, wa, wobble wobble
Ona kina Milly na Wambo Wambo
Tumini tumeshika tako tako
Nataka mmoja nimchape tapo tapo

Ah nakuita manzi hi, natupa tupa swa
Anaanza kuwa mshy fisi naskia raha
Anapenda nyama choma tumbukiza
Nikamwambie maddam eeh skiza
Huwezi kula nyama na nyama ee
Ni taamu sembe na nyama
Mbona mi nikule nyama na nyama?
Ni rubber na nyama 
Kula nyama na rubber

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

[Femi One]
Utadhani kipini niko rada ya safety
We ni Kiss umebeba chocolate kwa kibeti
Cheza maclassic niko juu si ka strawberries
Ndio unichoree weka rubber juu ya pensil

So anavaa jezi na nati ndo apewe mechi
Namwaga maji mengi akisugua utensils
Ona wa ndani ka charger ikijaza battery
Flavour hufanya huku kwanukia vifreshi

Aah ata usiketi (Ah-ah)
Funiko queen na plastic wrap kukata keki
Iko na grip ka SGR ikipanda breki
Nguruma Kiss Cudle kisha tublekiii

[Jua Cali]
Kabla nipunguze hanjam nachukua kiss yangu
Napiga magoti naomba Mungu wangu
Kivyovote vile lazima ijipe
Kivyovote vile lazima huyu mtu aumie

Nakukumbusha odi ile ya tao
Na usisahau mpini kabla utoke kwa hao
Yule budaa inakaa yuko na kakitu
Ama tuchukue ule mwingine anaongea kwa simu
Niko naye mbele we mkute kwa nyuma
Vile anatembea kifala we utamsukuma
Akiteguka simu inaenda ama vipi
Sisi huku vichochoro mitini

[Odi wa Murang'a]
Nataka leo goshodo awike, jua nimejipin
Nataka leo niwajibike, jua nimejipin
Nataka leo ububujike chozi ndo nitii
Ju hii masaa niko fly na chamo kwa genes

I say 1, 2, 3, warazi wajikate
I say 4, 5, 6, niteke walami
Nyege ndo bidii, acha nimpakate
Mi na mbogi yangu nacheki tushajihami

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

Ni risky, kutojipin si ni risky
Nimejipin na uko vipi
Tunashikisha na mwadhini
Ni cham na ni vodoo, na ni risky na ni whisky

(Magix Enga on the Beat)

Watch Video

About JIPIN Anthem

Album : JIPIN Anthem/ Jipin Na Kiss (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 04 , 2020

More ODI WA MURANG'A Lyrics

ODI WA MURANG'A
ODI WA MURANG'A
ODI WA MURANG'A
ODI WA MURANG'A

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl