NYOTA NDOGO Nakushuku cover image

Nakushuku Lyrics

Mombasa -Voi based artist Nyota Ndogo releases her new song 'Nakushuku' it talks about in...

Nakushuku Lyrics by NYOTA NDOGO


Eti juzi juzi, ulinambia unakuja
Wala haukufika kwangu 
Eti juzi juzi, ulinambia unakuja
Wala haukufika kwangu 

Kila nikipiga wewe waja
Wewe waja wala hufiki
Kila nikipiga, we waja we waja
Wewe waja wala hufiki

Juzi nilikuona, Nilikuona
Kwenye Gari lako....mmmhh
Ukageuza kichwa, ukageuza kichwa 
Ukanitazama ukaangalia kando

Ile simu, ile simuu
Niliyopiga haukuipokea
Ile simu, ile simuuu
Iliniuma sana aaaaah  

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe   

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe  

Nimesikia mwanaume akipendwa, hujilegeza
Hutaka bembelezwa, yote nimefanya
Nimesikia mwanaume akipendwa, hujidekeza 
hutaka bembelezwa, yote nimefanya

Ila unaniumiza nafsi
Moyo Unalalama aah
Usiku nakuwaza

Ila unaniumiza nafsi
Moyo Unalalama aah
Kwa kuwa nakupenda

Kama kuna mwenzangu 
Mwambie namuita, 
Aje tuelewane
Sina shida ya we kuwa na wawili

Kama kuna mwenzangu
Mi sina shida aaaah 
Muje tuelewane
Kuliko kufichaficha aaah

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe   

Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe
Baby Nakushuku wewe
Nakushuku wewe  

Watch Video

About Nakushuku

Album : Nakushuku (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 19 , 2020

More NYOTA NDOGO Lyrics

NYOTA NDOGO
NYOTA NDOGO
NYOTA NDOGO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl