Mgani Lyrics by DAVID WONDER


David wonder, 
Safi records yeah
Producer Paulo

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na si umwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 
Oooh mwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 

Na wacha tumuone akitembea juu ya maji
Anatuonea akifanya uponyaji
Samaki elfu tano, nitafanya ugawaji
Popote pote mahali watu watahitaji

Eh eh eh eh(eeeh..)
Nasema 
Eh eh eh eh(eeeh..)

Ndio maana hakuna kama wee
Kama wewe Yesu
Kusimama nimesimama 
Juu ni yako Yesu

Kama wee
Kama wewe Yesu oooh
(Paulo aah)

Hakuna kama wee
Kama wewe Yesu
Kusimama nimesimama 
Juu ni yako Yesu

Kama wee
Kama wewe Yesu oooh, ooh oooh

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na si umwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 
Oooh mwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 

So nikitembea tembea
Ni kwa jina lake
Ooh nikiongea ongea
Ni kwa jina lake

Mapepo kemea kemea
Ni kwa jina lake
Sio makerea kerea
Ni kwa jina lake

So asijitokeze mtu 
Wa kujilinganisha na wewe
Ni wewe tu unajua wewe mwenyewe
Elshadai sifa upewe, hey hey

Ndio maana hakuna kama wee
Kama wewe Yesu
Kusimama nimesimama 
Juu ni yako Yesu

Kama wee
Kama wewe Yesu oooh
(Paulo aah)

Hakuna kama wee
Kama wewe Yesu
Kusimama nimesimama 
Juu ni yako Yesu

Kama wee
Kama wewe Yesu oooh, ooh oooh

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na si umwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 
Oooh mwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 

So asijitokeze mtu 
Wa kujilinganisha na wewe
Ni wewe tu unajua wewe mwenyewe
Elshadai sifa upewe, hey hey

(Eeeh..) (Eeeh..) 
(Eeeh..) (Eeeh..) 
(Eeeh..) (Eeeh..) 
(Eeeh..) (Eeeh..)

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na bwana 

Na si umwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 
Oooh mwambie ajitokeze 
Eh eh eh eh(eeeh..) 

Ooh ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo?
Hey, hey

Ooh ni mwanaume
Mgani huyo, mgani huyo
Wa kulinganisha na bwana. hey

Watch Video

About Mgani

Album : Mgani (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 22 , 2019

More DAVID WONDER Lyrics

DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl