Pande Lyrics by DAVID WONDER


Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

(Alexis on the Beat)

Nimeng'ang'ana na wokovu wangu
Nikianguka nainuka nasonga (Songa sana)
Nimepambana ingawa moyo wangu
Unaamini saa zingine wakana

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Niulize, nikwambie
Kuna utamu kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu

Niulize, niulize nikwambie
Kuna uhuru kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu

Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa 

Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Upande wako ndo napatikana
Hakuna uchungu na laana 
Upande wako ndo napatikana

(Kwa Yesu sihami)

Watch Video

About Pande

Album : Pande (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 02 , 2021

More DAVID WONDER Lyrics

DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl