Umeniona Lyrics by NATASHA LISIMO


Mungu umenihurumia
Baba umenihurumia
Yesu umenihurumia
Baba umenihurumia

Nakumbuka maumivu
Nakumbuka na machozi
Ulionifuta wewe
Nilivyosetwa na watesi wangu

Asante kwa ujasiri
Nashukuru kwa amani Yesu
Uliyoweka moyoni 
Nilivyotingwa na ya walimwegu

Aibu, aibu, aibu
Fedheha fedheha, fedheha
Umeniondolea aibu
Sijui nikulipeje? Ooh Bwana

Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi

Wala sikuwa dhamani
Kama nilivyoonekana
Na nilishachoka 
Kuendelea tena mbele

Siri yangu yote 
Ukaijua wewe Bwana
Nawaza kama angelijua mwengine
Angeshatangaza je?

Nashukuru kwa kuniondolea aibu
Sijui nikulipeje?
Ooh kama je, isingekuwa huruma yako
Angenipendaga nani? 
Yaani we, isingekuwa rehema zako 
Ningekumbukwa na nani?

Ah tumaini langu ni wewe
Toka siku zile
Msaada wangu ni wewe
Toka siku zile

Ooh kimbilio langu ni wewe
Toka siku zile
Msaada wangu wa mwisho ni wewe Yesu
Toka siku zile

Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi
Aaah, umeniona nami, umeniona na mimi
Ehee, umeniona nami, umeniona na mimi

Umeniona, umeniona na mimi
Na mimi iyee iyee

Umenilipia deni la aibu
Umeniponya yote tabibu
Nini tena hujafanya mwalimu
Oooh asante, ooh

Umenilipia deni la aibu
Umeniponya yote tabibu
Nini tena hujafanya mwalimu
Oooh asante, ooh

Watch Video

About Umeniona

Album : Umeniona (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 10 , 2020

More NATASHA LISIMO Lyrics

NATASHA LISIMO
NATASHA LISIMO
NATASHA LISIMO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl