...

Raha Lyrics by YAMMI


Aki babe naona mi na wewe

Kama adamu na hawa

Ivi tuko sawa sawa

Utaniua ntakwama

Mi mwengine sina

Kwani unafanyaga vipi

Ivyo mbona rah asana

Ooh baby ongezaa

Ongeza maujuzi nikupeleke

Kwa mkweo we wa wapi wewe

Zanzibari au tanga

Unanikoleza baba kazi ipo

Mbona kazi wanayo

We ni fundi wewe ukinvunja utanjenga

Yani naona raha

Naona raha naona

Naona raha naona raha naona raha

Naona raha

Unanipenda mpaka naogopa

Naona raha naona

Naona raha naona raha naona raha

Yani naona raha

Ogepa matapeli

Penzi letu tayasi linahati miliki

Apa mwisho wa reli

Nimeshapatikana sitikisiki

Wanafki washa feni

Watarusha madongo hayatufiki

Mi na we ndo movie

Waje watizambe wawe mashabiki

Usije ponzwa na ujana

Babe bade mapema

Ng’ang’ana na mimi darling

Na moyo umetulizana

Wa changu chanda chema

Nyunde na msumali

Ooh babe ongezaa

Ongeza maujuzi nikupeleke

Kwa mkweo we wa wapi wewe

Zanzibari au tanga

Unanikoleza baba kazi ipo

Mbona kazi wanayo

We ni fundi wewe ukinvunja utanjenga

Yani naona raha

Naona raha naona

Naona raha naona raha naona raha

Naona raha

Unanipenda mpaka naogopa

Naona raha naona

Naona raha naona raha naona raha

Yani naona raha

Watch Video

About Raha

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : ©2025 The African Princess Ltd.All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Jul 15 , 2025

More YAMMI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl