...

Nitadumu Nae Lyrics by YAMMI


Ka kasoma veta

Ye ni fundi wa mambo

Atwanga pepeta

Kwavya juu viwango

Raha naserereka

Hahaba hayaishe bando

Chumbani heka heka

Vita ya unyago na jando ooh

Yeye ndo amenilemaza

Kulala kwake kifuani

Kutwa kunijazajaza

Mi kajol yeye sharukhan

Anipa mpaka nasaza

Sebuleni na chumbani

Raha zimenipumbaza

Mie hoi taaabani

Macharibi natafuta sababu

Bibi namtafuta babu

Aniita yaa qalbi majina ya kiarabu

Twawachoma mahasidi

Kwa vinyimbo vya taarabu

Nitadumu nae kwa nguvu za manini

Jaribuni baadae kwa sasa hapatikani

Nitadumu nae kwa nguvu za manini

Jaribuni baadae kwa sasa hapatikani

Oooh oooh lalala lalala aaah aaah

So dawa za china

Si mizizi ya kongo

Nampa mchai chai

Na supu ya kamongo

Fullstamina

Anibeba kwa mugongo, (mugongo)

Mambo ya kwenye mtima

Si kupendana kwa hongo, (kwa hongo)

Yeye ndo amenilemaza

Kulala kwake kifuani

Kutwa kunijazajaza

Mi kajol yeye sharukhan

Anipa mpaka nasaza

Sebuleni na chumbani

Raha zimenipumbaza

Mie hoi taaabani

Macharibi natafuta sababu

Bibi namtafuta babu

Aniita yaa qalbi majina ya kiarabu

Twawachoma mahasidi

Kwa vinyimbo vya taarabu

Nitadumu nae kwa nguvu za manini

Jaribuni baadae kwa sasa hapatikani

Nitadumu nae kwa nguvu za manini

Jaribuni baadae kwa sasa hapatikani

Anatembea na roho yangu

Anatembea na mwili wangu

Anatembea na pumzi zangu

Mimi mimi mimi

Watch Video

About Nitadumu Nae

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright : ©2024 The African Princess Ltd.All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Sep 11 , 2024

More YAMMI Lyrics

YAMMI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl