NACHA Boss Mpya cover image

Boss Mpya Lyrics

Boss Mpya Lyrics by NACHA


Na venye walikuwa wanakesha
Kumwaga pesa hakuna msondo
Na jiji nzima walitutesa
Na leo wanachekwa nyumbani ndondo

Boss pekee ambaye natesa, tesa
Kipindi Magu kabana pesa
Niulize nauza dawa ama
Nilitunza enzi za Jakaya ama

Bandale ama madale
Miguu ya kuku kwetu nosa tukambale
Kama jabale, kacheze na wale
Wananiita boss kubwa boss kabambe

Believe that, sijasoma ila naongea kizungu
Nikinywa panzi kanywa soda na bado kazima
Mshamba mwenye subi leo nateka hadi jina
Wananiita benki ndogo wakina Amina

Baa naitwa Said Mwamba kizota
Nazungusha dimba bila hata kuchoka
Hakuna namna, kunywa wana 
Na msijali vocha zipo ka mnara ukisimama

Ni kujichana, 
Kulindana ni habari za nyumbani za watoto kina mama 
Sio Kulichana, mi ni Nacha toka Bongo Tz
Sio Sacco kule Ghana, ni boss mpya, toto mpya
Na viwanja pia vipya vya zamani havina maana 

Nageuza joto kuwa baridi(Baridi)
Boss mpya ndani ya jiji(Ya Jiji)
Beki hazikabi pande hizi(Hiziii)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)

Eeh na party iko next door ama
Choma choma nalipia mimi hizo nyama
Vipi na ni wapi kunawaka Dar? 
Ligi zangu sio kichui ya labda samata

Nenda Tabata, Kimanga kasake kiwanja 
Ukifika Kimara suka
Simtaki Kidoti, Kajala, na Wema na Wolper
Maana kilomita zimekata

Na na chini ninamopa, koti kadinda
Kazi ni moja, we kunywa nitalipa
Aah unacheka? Hakuna namna kunywa wana
Na msijali vocha zipo ka mnara ukisimama

Ni kujichana, 
Kulindana ni habari za nyumbani za watoto kina mama 
Sio Kulichana, mi ni Nacha toka Bongo Tz
Sio Sacco kule Ghana, ni boss mpya, toto mpya
Na viwanja pia vipya vya zamani havina maana 

Nageuza joto kuwa baridi(Baridi)
Boss mpya ndani ya jiji(Ya Jiji)
Beki hazikabi pande hizi(Hiziii)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)

Nageuza joto kuwa baridi
(Bongo Tz sio Sacco kule Ghana)
Boss mpya ndani ya jiji
(Ni habari za nyumbani za watoto kina mama)
Beki hazikabi pande hizi
(Viwanja pia vipya vya zamani havina maana)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)
(Bongo Tz)

Nageuza joto kuwa baridi
(Bongo Tz sio Sacco kule Ghana)
Boss mpya ndani ya jiji
(Ni habari za nyumbani za watoto kina mama)
Beki hazikabi pande hizi
(Viwanja pia vipya vya zamani havina maana)
Boss mpya ndani ya jiji(Eazy wowooo)
(Bongo Tz)

Watch Video

About Boss Mpya

Album : Boss Mpya (Single)
Release Year : 2017
Copyright : (c) 2017
Added By : Boss Mpya
Published : Aug 11 , 2019

More NACHA Lyrics

NACHA
NACHA
NACHA
NACHA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl