Katu Lyrics by PLATFORM


Vurugu maizingwe la mapenzi yote naelewa
Nisijekufa mtima mwisho ukaniumiza 
Alafu ukapotea
Methali tamu kwenye mapenzi
Yote nishahadithiwa 
Asa ni kipi tena unaweza sema 
Na nikakuelewa

Legeza kamba kidogo nipe chance tuongee ongee
Maana mazima kwako nishavapa sio uwongo
Tena punguza hasira za mbogo
We kubali niwe nawe
Mwenzako nikipenda nimependa sio uwongo

Huna lolote na zako tamaa
Akili yako inawaza tu zinai
Usijenipa nongwe nikikupenda
Sina habari mie

Unavyohisi hivyo sivyo mama
Kusema ukweli nakupenda sana
Kani kama ukinipee na nikakupee
Ona utaenjoy

Katu katu, siko kwenye mapenzi
Katu sina hamaya, katu katu
Maana nishalia nikaumizwa mapenzi haya
Katu katu basi nikubalie uwe na mie utaenjoy
Katu katu
Labda ulipenda usipopendwa ndo maana unajutia

Ah wacha leo nikujuze
Kinywa hunena ila moyo unapenda
Yale yanyuma yapuuze
Mshika mawili na moja huponyoka
Sa niskize

Hapana mwana hapana na
Ukweli hakuna jipya
Nishatapata pana roho
Mapenzi yakaniliza

Na ni kipi sa hicho 
Unaweza kubadilisha
Maana mapenzi donda roho
Na mwisho kuaibishana

Hata mazao huenda ekwa mbolea
Na kipindi cha msimu nitapalilia
Na moyo wangu unakuongojea
Amini we ndo wangu wa kufa kuzikana

Huna lolote na zako tamaa
Akili yako inawaza tu zinai
Usijenipa nongwe nikikupenda
Sina habari mie

Unavyohisi hivyo sivyo mama
Kusema ukweli nakupenda sana
Kani kama ukinipee na nikakupee
Ona utaenjoy

Katu katu, siko kwenye mapenzi
Katu sina hamaya, katu katu
Maana nishalia nikaumizwa mapenzi haya
Katu katu basi nikubalie uwe na mie utaenjoy
Katu katu
Labda ulipenda usipopendwa ndo maana unajutia aah aah

Watch Video

About Katu

Album : Katu (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 17 , 2021

More PLATFORM Lyrics

PLATFORM
PLATFORM
PLATFORM
PLATFORM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl