Hubadiliki Lyrics by MR SEED


Mr Seed Again
(ALexis on The Beat)

Wanadamu wanabadilikaga
Hata ufanye nini wanalalamikaga
Mungu wetu wala habadiliki
Yeye ni yuleyule jana tena milele

Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Eh ah oh oh, hubadiliki eh

Yule yule wa zamani
Yule yule ni wewe
Wa Musa ni wewe
Wa Yakobo ni wewe
Hata wa Bella ni yeye yule
Jana leo na milele hubadiliki eh

Rafiki yangu anaweza badilika
Na mama yangu anaweza badilika
Eh eh ila ni wewe hubadiliki
Ila ni wewe

Ah natafuta, eh natafuta
Mi natafuta wa kukufanana
Hakuna wa kukufanana
Mi nakupenda Yesu, kupenda Yesu
Mi bado sijaona kama wewe
Mpaka sasa uko mwenyewe
Wewe ni Mungu tena nguvu yangu
Rafiki yangu tena msiri wangu
Yoh yoh yoh yoh, ye ye ye ye

Mi bado sijaona kama wewe
Mpaka sasa uko mwenyewe

Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Eh ah oh oh, hubadiliki eh

Hubadiliki yeyeye
Oooh hubadiliki yeah yeah

Faithful God you are, you are, you are
Crazy love with you Jesus Yeah yeah yeah
Oh nah nah nah nah
Watakuja wataenda
Hubadiliki yoh daddy yoh yoh
Watakuja wataenda eh
Hubadiliki yoh daddy yoh yeah

Wewe ni Mungu tena nguvu yangu
Rafiki yangu tena msiri wangu
Yoh yoh yoh yoh, yeah yeah yeah

Mi bado sijaona kama wewe
Mpaka sasa uko mwenyewe

Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Eh ah oh oh, hubadiliki eh
Eh ah oh oh, hubadiliki eh

Watch Video

About Hubadiliki

Album : Black Child (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Starborn Empire.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 22 , 2021

More lyrics from Black Child album

More MR SEED Lyrics

MR SEED
Upo
MR SEED
MR SEED
MR SEED

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl