MR BLUE Kiuno cover image

Kiuno Lyrics

Kiuno Lyrics by MR BLUE


Utaniambia nini sasa ambacho sikijui
Nacheka nawe usiku kukikucha sikujui
Bia nyingi na misupu asubuhi
Nyumbani naitwa dingi ila vichuchu havipumui

Party kama siku yako ya birthday
Mmmh au tuseme hii ndio last day
Basi we kiwashe(Mzee baba)
Kabla hata -- pass away

Yellow, yellow, yellow suba
Parking iko freshi shika jero ukale msuba
Na party sio kila siku watoto wa ghetto hufurahi
Mwarabu kauza mafuta hii ni kero Dubai

Arusha ngono ngono kula nyama
Kulala Morogo parte Dar es Salaama
Kwenye vichochoro sio ruksa kuinama
Tushaanza migogoro ya wanaume kusimama

Habari za kaunta na sio Mr T da
Nini mnataka basi?
Mr big black, robaya kwenye kazi 
Naitwa mr Hikwa
Na hizo party za angani
Call me Mr Pipa

Ni kiuno tu 
Haina gharama haina nguvu
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Ni kiuno tu 
Haulipi nyama haulipi bia
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Ni kiuno tu 
Haina gharama haina nguvu
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Ni kiuno tu 
Haulipi nyama haulipi bia
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Kama jicho umeletewa, spika umeletewa
Playlist ya nyimbo unazopenda utachezewa
Pombe unazokunywa utaletewa na utalewa
Anza mapapara mpaka homu utachelewa

Jokovu liko wazi toa chupa weka tupa
Mwaga radhi kama nguo unazotupa
Toa kasi weka kazi mambo supa
Ladha tumehifadhi kama linavyofanya duka

Mama mama(Mama mama)
Kula nyama nyama(Nyama nyama)
Zama zama zama(Zama zama)

Tungi likikata tunalifuata hata border
Amri marufuku hakuna mtu kuagiza soda
Tuko pamoja, yeah yeah I told ya
Wadogo wamwage ugali wakubwa tumwage mboga

Ni kiuno tu 
Haina gharama haina nguvu
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Ni kiuno tu 
Haulipi nyama haulipi bia
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Ni kiuno tu 
Haina gharama haina nguvu
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Ni kiuno tu 
Haulipi nyama haulipi bia
Ni kiuno tu(Oooh yeah)

Usione Musa kapita kwenye bahari
Kwa bakora yake
Na we Firauni unataka kupita palepale
Utazama

Watch Video

About Kiuno

Album : Kiuno (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 16 , 2019

More MR BLUE Lyrics

MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl