MR BLUE Mungu Unanipenda  cover image

Mungu Unanipenda Lyrics

Mungu Unanipenda Lyrics by MR BLUE


Baba shida zetu unazijua, unatujua
Baba tulitaka mwanga, umeleta jua
Baba yetu nakunjua, mabaraka tunadua
Kwenye ukame we ndo mvua
Baba mi ni wako hata ukinichukua

Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia

Baba wowowowo
Baba kanisaidia 
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Mimi mja wako mwenye huo uhai wako
Kwanini niringe kwako baba
Niko kwenye dunia yako nakula matunda yako
Hizi zote mali yako baba

Binadamu hawanipendi, ila Mungu ananipenda
Wachawi mko wengi, ila Mungu ni mmoja

Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia

Baba wowowowo
Baba utaniokoa
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Baba yangu unanipenda
Kweli baba unanipenda
Unanipenda yeah baba
Unanipenda, unanipenda
Baba unanipenda, unanipenda

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Watch Video

About Mungu Unanipenda

Album : Mungu Unanipenda (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2021

More MR BLUE Lyrics

MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl