ASLAY Chuki cover image

Chuki Lyrics

Chuki Lyrics by ASLAY


Olalalala

Maadui 
Wamenizidi pesa na umri
Nashangaa 
Sijui au tuseme nina kiburi

Nakataa
Hawanidai siwadai 
Ila nashangaa wananichukia aah
Chuki zisizo sababu

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Mi mnyonge 
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge 
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Wanasema nalewa)

Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Eti Aslay kaishiwa)

Mapumbu saba 
Ridhiki unagawa tu maanani
Wengine labda
Wanataka kushindana na wewe

Mmh mpaka napiga magoti(Magoti)
Namlilia mama(Mama)
Kisha narudi kwako
Umlaze salama 

Sawa nyinyi manoti noti
Tutakutana kiama
Mnyonge narudi kwako
Kwako Maulana

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Mi mnyonge 
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge 
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Wanasema nalewa)

Watch Video

About Chuki

Album : Chuki (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c)2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 28 , 2019

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl