...

Tiki Tako Lyrics by MATATA


Tuko juu ya jaba, tume seti tuko on

Zimekanashi ku arrest beyond (beyond)

Ka unadai form, tukona hadi miti shamba

Huku kuna hadi waganga and beyond (ay ay ay ay)

Tuko juu ya jaba, tume seti tuko on

Zimekanashi ku arrest beyond (beyond)

Ka unadai form, tukona hadi miti shamba

Huku kuna hadi waganga and beyond (ay ay ay ay)

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako Ayy

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako ah

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako Ayy

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako ah

Huku tunatibu hadi malaria, kam na geri ah

Hapa kenye hakuna za ukeke na gonorhoea

Alafu tumeseti tuko jaba na ma warria

Ambia humdem ana dera nina chapo anaeza kalia

Ai ai honey, mi huwaga somebody

Leo mi ordinary kesho summer bunny

Ai ai ai honey please come dine na mi

Later zikinice tuache ilale ndani

Nina keys to the city, Give me keys to your kitty

Kiss to infinity nadai round ya pili

Na Usthani nakudai ju ya Nyash that’s a lie

Nasithani umewai juu ya cash another lie

Tuko juu ya jaba, tume seti tuko on

Zimekanashi ku arrest beyond (beyond)

Ka unadai form, tukona hadi miti shamba

Huku kuna hadi waganga and beyond (ay ay ay ay)

Tuko juu ya jaba, tume seti tuko on

Zimekanashi ku arrest beyond (beyond)

Ka unadai form, tukona hadi miti shamba

Huku kuna hadi waganga and beyond (ay ay ay ay)

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako Ayy

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako ah

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako Ayy

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako ah

Nina swali nani hu motivate ma motivator

Swali

Mbona crockdile si aligator

Swali

Mbona huroll ngwai ma coated paper

Swali

Mbona hupendi kuserereka

Ai ai honey, mi huwaga somebody

Leo mi ordinary kesho summer bunny

Ai ai ai honey please come dine na mi

Later zikinice tuache ilale ndani

Najifanya ni ka siko na mali iko shiko

Nimeshika ma mita so zabe me siko

Akili ni ya 50 ya fifty na rangi ya thao

Mwili ni ya nini ka huwezi ji nao

Tuko juu ya jaba, tume seti tuko on

Zimekanashi ku arrest beyond (beyond)

Ka unadai form, tukona hadi miti shamba

Huku kuna hadi waganga and beyond (ay ay ay ay)

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako Ayy

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako ah

Me nataka manzi ako na beads kwa waist

Naskia wanakuwanga freak kwa bed

Me nataka ku find out just incase

Nita settle down niko jaba

Jaba yangu hushika na ka rosta

Ka jasho kanaanza kunitoka

Zina nishow vile nime omoka

Huyu dem me nambeba take away

Atakuwa mteja hadi next week

Ma usiku naskia uki ji DJ

Ukitaka ndakusaidia ku mix

We mpige block alafu give me a kiss

Tuko juu ya jaba, tume seti tuko on

Zimekanashi ku arrest beyond (beyond)

Ka unadai form, tukona hadi miti shamba

Huku kuna hadi waganga and beyond (ay ay ay ay)

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako Ayy

Tiki tako, ah ah

Tiki hiyo tako ah

Watch Video

About Tiki Tako

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jun 25 , 2025

More MATATA Lyrics

MATATA
MATATA
MATATA
MATATA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl