MASTAR VK Nakuja cover image

Nakuja Lyrics

Nakuja Lyrics by MASTAR VK


Looku ni safi ka pamba
Nadunga mpaka najigamba
Na chaser makali na shada
Nanyanya ni ka najimada
Siku hizi ni ka mi ni nganya
Nafika kwa keja jo ka amenipanda
Diva umeshinda ukihanya
Ananikumba ni ka ananihanda

Heri niteke Akothee
Tupigwe mamboto tupoze
Nichachishe ndevu ka Rozee
Kajaba kazoze

Huwezi nipata majini
Nizame ati sa niko chini
Kachipo kabambe na chilli
Tunyanye ata ka ni kazini

Nakuja kuleta mangori
Nakuja kujaza hadi pori
Ni ka nina mbogi kwa lori
Safisha uepuke wanori

Nakuja kuleta mangori
Nakuja kujaza hadi pori
Ni ka nina mbogi kwa lori
Safisha uepuke wanori

Pesa itafanya ninone
Kagym alafu nishone
Buda anataka nisome
Ndo wanakijiji waone

Mboka inafanya nikose gethaa
Ya kupatana nikuchome
Na bado nasema jo sina gethaa
Ya kukushikla nikupone

Afande nafaa kikombe(Trophy)
Nipate ile baze ya vikombe
Mangoto ni kama za Quavo
Nabeba wasupa kwa Benzo
Mafala nawapa mahedi
Hadi siku hizi wao hudhani ni Kenzo

Mbosso imba na ngoso
Mistari ni ka za leso
Mangoko nateka kwa meso

Hii miti ni refu bado ni dawa
Mi ndo nilipima Adamu na Hawa
Mi sio mchafu mi nimenawa
Ugali ikikuja nafinya ka kawa
Cheki hujashawa buda una chawa
Ka zimeshika jo wacha madawa

Nakuja kuleta mangori
Nakuja kujaza hadi pori
Ni ka nina mbogi kwa lori
Safisha uepuke wanori

Nakuja kuleta mangori
Nakuja kujaza hadi pori
Ni ka nina mbogi kwa lori
Safisha uepuke wanori

Watch Video

About Nakuja

Album : Nakuja (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 25 , 2020

More MASTAR VK Lyrics

MASTAR VK
MASTAR VK
MASTAR VK

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl