MARIOO Karma cover image

Karma Lyrics

Karma Lyrics by MARIOO


Kama kupata njadingo kifosi
Kweli itakuponya
Sawa nitafanya kwa siri
Najua Mungu anakuona

Mabaya nilitenda nikajipa na muda
Kufa na kupona
Saivi nipo kivulini 
Ila nahisi jua linanichoma 

Baya ukifanya nakalia
Baya litarudi na utalia
Ubaya unafuataga baya
Watenda matendo mabaya kwa dunia

Mbaya siku yake ikifikia
Atatangatanga na dunia 
Baya ukirudi ni mbaya
Unarudi vibaya malipo yake ni mateso

Na hiyo, karma 
Oh karma, karma
Oh yeah yeah (Karma)
Mateso ya mapenzi siwezi sio sawa
Manyanyaso, huchoma daya karma
Oh karma, siwezi

Nimeamini sikio la kufa 
Halisikiagi dawa
Kama ilivyo mwenda pole hajikwai ii
Ndo utaniamini usiziba nyufa utajenga ukuta
Mwisho wa siku lawama, lawama

Baya ukifanya nakalia
Baya litarudi na utalia
Ubaya unafuataga baya
Watenda matendo mabaya kwa dunia

Mbaya siku yake ikifikia
Atatangatanga na dunia 
Baya ukirudi ni mbaya
Unarudi vibaya malipo yake ni mateso

Na hiyo, karma 
Oh karma, karma
Oh yeah yeah (Karma)
Mateso ya mapenzi siwezi sio sawa
Manyanyaso, huchoma daya karma
Oh karma, siwezi

Watch Video

About Karma

Album : Karma (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 01 , 2020

More MARIOO Lyrics

MARIOO
MARIOO
MARIOO
MARIOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl