Salima Lyrics by LINEX SUNDAY MJEDA


Je jey ahh
The V.O.A
Tuddy Thomas
(Wasafi)

Eeh Salima, Salima ooh 
Najua maisha yako yaliyumba 
Pale ulipo wapoteza wazazi wako

Yule Salima wa jana 
Sio Salima wa leo 
Amekua wa kujiinania 
Na kujikata tamaa

Iko wapi furaha yake 
Aliyokuwa nayo mwanzo 
Iko wapi furaha yake 
Aliyokuwa nayo mwanzo

Salima nakusanze kasuru 
Kagonga wekuye tenga tinyanya
Salima chenisange nguya 
Yene nasoma nawe mwengee

Salima mi ni sange yule yule 
Milie soma nawe Mwenge 
Zimeyayuka ndoto zako
Ulizo kuwa nazo Salima

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

Naomba hiyo bahati 
Ya kuishi nawe 
Idondokee kwangu 
Isiende kwa mwingine

Yasije kuwa kama yale 
Ya mla nawe hafi nawe 
Yasije kuwa kama yale ya
Mla nawe hafi nawe

Usijikatie tamaa 
Kuna wengi wana shida kuliko zako Salima
Wanaamini kupitia yule msemo 
Wa ridhiki hapo mbinguni kwake
Wanaamini kupitia ule msemo 
Wa ridhiki mafungu saba Salima ooh

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

Moyo unatamani 
Yaani yaani kuwa kitabu ufungue (Ufungue)
Usione jinsi gani 
Unavyonifanya niugue eeh

Zenda huri nana 
Uwawish uwawi nashisee
Pamoja kuherera baba 
Utungamizi japo niulimishe

Utamu, utamu wa moyo wangu 
Mi kupendwa nawe
Utamu, sa nini tatizo mami 
Basi sema nielewe

Ah Salima ooh (Oh ayee) 
Salima eeh (Oh ayee) 
Salima ooh (Oh aee) 
Salima eeh eeeh...

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

I feel that I'm in love with you
I feel that my life is you 
I feel that you're the only one I need
I'm gonna trust

Baby I'm not perfect but 
I'm going my all the way 
And I just want to be with you
Me and you forever and ever

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

Ooh Salima! Mie mwenzako nakupenda
Ooh Salima! Mie nataka niwe wako
Ooh Salima! Tuwe na wana tujejenga 
Ooh Salima! Niwe baba wa watoto

Wako watoto kedekede
Na watoto kedekede 
Shemeji mchange 
Wandese atanisaidia

Salima, Salima, Salima

Watch Video

About Salima

Album : Salima (Single)
Release Year : 2015
Copyright : (c) 2015 The VOA/ WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 31 , 2020

More LINEX SUNDAY MJEDA Lyrics

LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA
LINEX SUNDAY MJEDA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl