KUSAH Wema cover image

Wema Lyrics

Wema Lyrics by KUSAH


Ya zamani nikikumbuka
Mbona nitakonda kwa pressure
Oburu nikimbuka
Unasumbuliwa tumbo la njaa

Na mwenzio nimechoka
Sina hata jero ya soda
Eti saidia kaka 
Mbona hata Mola atakuona

Unataka uniambie hukumbuki fadhila wewe
Yaani yote nilofanya ni bure una hila wewe
Unataka uniambie hukumbuki fadhila wewe
Yaani yote nilofanya ni bure una hila wewe

Yii aah, yiii aah, yiii ah
Ah yii aah, yii aah, yii ah
Ah yii aah, yii aah, yii aaaah
Aaah...

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

Saa nyingine najiona kama ukungu
Umetanda kwenye njia yangu
Saa nyingine najiona nina ngundu
Nisaidie eeh Mola wangu

Saa nyingine najiona kama ukungu
Umetanda kwenye njia yangu
Saa nyingine najiona nina ngundu
Nisaidie eeh Mola wangu

Maana kila mtu naye mpa moyo 
Anaushika anaupasua
Hata yule nilomjali leo hii
Naye ananizungua

Ooh kitanzi
Penzi langu laungua moto
Jamani mapenzi
Yananifanya nalia kama mtoto

Yii aah, yiii aah, yiii ah
Ah yii aah, yii aah, yii ah
Ah yii aah, yii aah, yii aaaah
Aaah...

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

 

Watch Video

About Wema

Album : Wema (Single)
Release Year : 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 22 , 2019

More KUSAH Lyrics

KUSAH
Aga
KUSAH
KUSAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl