LINAH Kosa Sina cover image

Kosa Sina Lyrics

Kosa Sina Lyrics by LINAH


Hummm hummmm Ema the boy yi ihi
Ungeniuliza wala tusingegombanaga
lla inaonekana ni mtu mwenye hasira

Kosa sina sinaga  
Unanioneaga
Imani yangu Baba
Haiamini uongo sana hmmm

Kosa sina sinaga
Unanioneaga
Imani yangu Baba
Haiamini uongo sana ah

Kumekucha aah asubuhi imefika aah
Chozi lanitiririka jogoo nalo halijawikaa
Ningefanya lolote kwa ajili yako chochote
Ilu tuwe wote japo sicho unachotakaa
Uongo na visa ndio vyako
Sababu na visa vya kwako
Utemi na sifa ndio zako
Kipi ambacho sijakuguswa nacho

[CHORUS]
Nishakuwa damu mbaya ( ouweee)
Ushashikwa na wabaya (ouweee)
Mpaka huoni haya
Hizi mpaka unajiibia balaa baba
Nishakuwa damu mbaya (ouweee)
Ushashikwa na wabaya (ouwee)
Mpaka huoni haya hizi
Mpaka unajibia balaa babaa baba

Kosa sina sinaga
Unanioneaga
Imani yangu baba
Haiamini uongo sana
Sana sana aaaah

Kosa sina sinaga
Unanioneaga
Imani Yangu baba haiamini
Uongo sana sana sana sana uhmmm

Maumivu kidonda changu
Chumvi inakitosha dawa yangu Haifai iiih
Gafla mood imekuta
Gafla pozi limekata
Utasema lolote
Mradi tusiwe wote eh

Simu sijapokea mwenzako
Sivai vizuri mke wako
Nakudhalilisha mkeo
Weee bababaa

[CHORUS]
Nishakuwa damu mbaya ( ouweee)
Ushashikwa na wabaya (ouweee)
Mpaka huoni haya
Hizi mpaka unajiibia balaa baba
Nishakuwa damu mbaya (ouweee)
Ushashikwa na wabaya (ouwee)
Mpaka huoni haya hizi
Mpaka unajibia balaa babaa baba

Kosa sina sinaga  
Unanioneaga
Imani yangu Baba
Haiamini uongo sana sana sana

Kosa sina sinaga  
Unanioneaga
Imani yangu Baba
Haiamini uongo sana
Kosa Sina aaaaaahhh

 

Watch Video

About Kosa Sina

Album : Kosa Sina (Single)
Release Year : 2017
Added By : Afrika Lyrics
Published : Oct 29 , 2018

More LINAH Lyrics

LINAH
LINAH
LINAH
LINAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl