Nasubiri Lyrics by KIBONGE WA YESU


Kibinadamu ni ngumu kujikomboa
Kwa yaliyonisibu hakuna awezaye kuniokoa
Niko ndani ya shimo
Lenye maumivu mengi
Katika ya jangwa
Natama hata tone la maji
Umebaki wewe tu (Umebaki wewe tu)
Uwezaye kurudisha tabasamu ooh uwoo
Umebaki wewe tu
Uwezaye nitanyia amani tena
Bwana kwako nangoja (bado nasubiri)
Naisubiri ahadi yako (bado nangojea)
Ahadi ya uzima wangu (bado nasubiri)
Nasubiri, nasubiri (bado nangojea)
Utajiri ulioniahidi (nasubiri)
Subiri, mimi nasubiri (nangojea)
Unitoe jangwani (nasubiri)
Unitoe kwenye umasikini
Unitoe shidani (nangojea)

Gonjwa nililonalo limeshindwa kutibika
Wamenidhurumu
Haki yangu imepotea ooh
Kwako nasubiri jibu
Uliye tabibu wa kweli
Uliye hakima wa kweli
Umebaki wewe tu
Uwezaye kurudisha tabasamu ooh uwoo
Umebaki wewe tu (Umebaki wewe tu)
Uwezaye nitanyia amani tena
Bwana kwako nangoja (bado nasubiri)
Tumaini langu lipo kwako (bado nangojea)
Nangojea uponyaji wako (bado nasubiri)
Ona madaktari wameshindwa (bado nangojea)
Kunisaidia aahh  (bado nasubiri)
Uirudishe haki yangu  (bado nangojea)
Kutoka kwa mikono ya wadhurumaji (bado nasubiri)
Wewe ndiwe hakimu wa kweli
Kwako nasubiri (nangojea)
Kwako nasubiri
Kwako nangojea

Umebaki wewe tu
Uwezaye kurudisha tabasamu ooh uwoo
Umebaki wewe tu
Uwezaye nitanyia amani tena
Bwana kwako nangoja (bado nasubiri)
Kama vile kiwete (bado nangojea)
Malangongi na hekalu (bado nasubiri)
Kupokea muujiza wangu (bado nangojea)
Kupokea Baraka zangu  (nasubiri)
magari yangu  
kumiliki nyumba zangu (nangojea)
nangoja, mimi nangoja eeeeh
(Nangojea
Nasubiri
Nangojea
Nasubiri)

Watch Video

About Nasubiri

Album : Nasubiri (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : May 28 , 2022

More KIBONGE WA YESU Lyrics

KIBONGE WA YESU
KIBONGE WA YESU
KIBONGE WA YESU
KIBONGE WA YESU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl