Ponky Lyrics by KAGWE MUNGAI


Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Ngaji iko sawa, siishi vibaya
Suti ni ya pawa, mahits ka kawa
Sushi kejani na chef, ngoja ucheki my shower
Mi huitwa everready, namuita paka power

Nimejaziwa kikombe
Manze na sioni compe
Mashori kwa box ka Conje
Mwenye wivu monkey wajinyonge

Ganji ni bei, mbogi pamoja
Kenye nasay hakuna kitu nakosa 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Kuna dem nampenda Whatsapps nimelenga
Hii ni mistari za CEO sinanga time kutext back
Nairobi kwa bega kinyozi wa mine anaweza
Sileti kiti kote ball meza nishaijenga

Hamnitishi hamnibabaishi
Hamwezi shika form hii maisha ninayoishi
Hamwezi tokelea si mko Twitter busy
Endelea na makelele mi nitarun the city

Ganji ni bei, mbogi pamoja
Kenye nasay hakuna kitu nakosa 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Pickie pickie picki ponky
Nabeba wote combi
Na kwa mtaa wametii
Niko juu kama nyora fosi 

Watch Video

About Ponky

Album : Ponky (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 01 , 2021

More KAGWE MUNGAI Lyrics

KAGWE MUNGAI
KAGWE MUNGAI
KAGWE MUNGAI
KAGWE MUNGAI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl