
Ngome Lyrics
Ngome Lyrics by JOEL LWAGA
Yafanikiza na nyota za mwanga
Hakuna kile ninokuwa cha macho
Imegauka
Mali na fedha na vitu vya dhamani
Vimetoweka
Marafiki na wote walionipenda
Wamepotea
Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka
Gharika na mvua kucheki inazama
Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka
Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu
Na ushindi wangu katika majaribu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa
Sitaki mwingine ninaye tu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa
Sitaki mwingine ninaye tu
Nilidhani furaha ni watu wakikusifu
Kumbe furaha ni Yesu moyoni yakikusibu
Udhamani haupo kwa vitu visivyodumu
Ila ni nguvu ya kutabasamu hata patupu
Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka
Gharika na mvua kucheki nazama
Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka
Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu
Na ushindi wangu katika majaribu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa
Sitaki mwingine ninaye tu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa
Sitaki mwingine ninaye tu
Nimesimama imara (Eeh)
Hofu imeteka nyara (Eeh)
Rohoni niko salama (Eeh)
Na Yesu mwamba imara (Eeh)
Nimesimama imara (Eeh)
Hofu imeteka nyara (Eeh)
Rohoni niko salama (Eeh)
Na Yesu mwamba imara (Eeh)
Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka
Gharika na mvua kucheki inazama
Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka
Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu
Na ushindi wangu katika majaribu
Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu
Na ushindi wangu katika majaribu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa
Sitaki mwingine ninaye tu
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa
Sitaki mwingine ninaye tu
Watch Video
About Ngome
More lyrics from Thamani (EP) album
More JOEL LWAGA Lyrics
Comments ( 1 )

Very good write ups. Thank you. casino en ligne France Regards, Loads of data! casino en ligne fiable Well expressed truly. . casino en ligne With thanks. Fantastic information. casino en ligne Nicely put, Regards! casino en ligne Regards! I appreciate this! casino en ligne francais Amazing quite a lot of wonderful tips. casino en ligne Kudos. Helpful information. meilleur casino en ligne Many thanks! Loads of facts! casino en ligne francais Reliable postings Cheers. meilleur casino en ligne
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl