...

Kiguu Na Njia Lyrics by JAY MELODY


Anhaaaa anhaaa

Onhooohho

Once again

Onhooo

Walisema mapenzi dawa ohoh

Ila kwako nilipata ugonjwa ah

Ukanilisha bila kunawa oohoh

Madharau hukua na uoga

Ndo mana nimekukata

Nimekuzimia taa

Mwenye roho ya paka

Usie wahi ridhika

Mapema nilijua

Mbali hatutafika

Kipi kinakuwasha

Mbona wahangaika anhaa

Habari zako nimezisikia mbali

Yamaanisha wewe kiguu na njia

Unazunguka kusambaza vidosari

Hakuna baya mimi nilokufanyia

Watia tia unga

Wasaga saga rumba

Yako yamekushinda

Ya kwangu kuyachunga wewe

Watia tia unga

Wasaga saga rumba

Yako yamekushinda

Ya kwangu kuyachunga wewe

Ona nanananah

Ono nonononoh

Ona nanananah onaaaaaah aah

Sasa natulia jinsi napatiwa raha za dunia (acha iyo)

Anazingatia tabasam langu nisije kulia (acha iyo)

Na tena fundi wa mapenzi amejaaliwa (acha iyo)

Kajawa hisia mahaba asilimia mia onhoo

Ulitaka nikongoroke oooh

Niwe hoi yani nichoke aah

Kwenda huko wewe cha wote oooh

Huna jambo huna lolote aaaah

Habari zako nimezisikia mbali

Yamaanisha wewe kiguu na njia

Unazunguka kusambaza vidosari

Hakuna baya mimi nilokufanyia

Watia tia unga

Wasaga saga rumba

Yako yamekushinda

Ya kwangu kuyachunga wewe

Watia tia unga

Wasaga saga rumba

Yako yamekushinda

Ya kwangu kuyachunga wewe

Ona nanananah

Watch Video

About Kiguu Na Njia

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 09 , 2025

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl