Pilipili Lyrics by HARMONIZE


Willy Willy (Willy Poze)
Willy, Pozee
Pesa so kila kitu alinifunza mama
Heshima ndo kila kitu
Walishasema wahenga
Ukipata magari utapotea baby wee
Ukifuata mapeni utapotea
Mbona wajiita malaika
Na tabia zako, haziambatani
Mbonaaa wajiita mama yao,
Na watoto wako umewatupa
Mboona wajiita chocolate
Na [?] flavour kumbe we shubiri
We pili pili we, unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
Mali so kila kitu, alinifunza mama
Mungu ndo kila kitu nilishika maneno ya mama eeh
Mke wangu twapigana
Kila siku ya wiki
Unataka mapeni tulia mungu ataleta
Unaniweka machungu ndani ya moyo wangu eeh
Tulia mungu ataleta, tulia
Mbona wajiita mama yao,
Na watoto wako umewatupa
Mbona wajiita chokoleti na [?] flavour
Kumbe we shubiri
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
(Iii eeeeh ehhh)
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
We pili pili we unaniumiza moyo
(Eeiiih)
Wololo wololo wololo

Watch Video

About Pilipili

Album : Pilipili (Single)
Release Year : 2018
Copyright : ©2018 Wasafi Records
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 09 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl