Paroles de Unaua Vibe Par RAPCHA


Gachi waonyeshe 
Last King of '90's baby
(Gachi Beats)

So nikamuomba one night stand
Ila kudate na mambo ya kuchuna mi spendi
Manzi kagida bapa dry bila glass
Tukamalizane kwenye nyasi
Dem wa pili nilimuona anajichetua
Kizungu kingi kaona huyu wa kishua
Nikamchanganyia tu ndio akajaa
Ile kulewa akaanza kutapika dagaa

Dem wa tatu nilimwona ametoka chicha
Kanikosha mbaya nikasema hang'oki hapa amekwisha
Nikampiga soundi nikamvuta ghetto
Ile kutoa wig tu ana bonge la ngeu kwenye kichwa

I say unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Unajuaga wale wana wa kupangazia
Wanakuaga na tabia flani sio za kuaminia
Anasema amekata pisi hadi inachuchumia
Pisi full inamlilia
Kumbe hata busu hajaambulia

Unaua vibe babu unaleta hisia
Mapenzi ya huruma huruma yapo kwenye tamthilia
Bia umelipia, msosi chumba umelipia
Mpaka mchezo umelipia afu unapangiwa pa kumwagia

Juzi mwanao kateka shpapi ya kuokota
Mitaa flani ya kati kino apo kwa mwanamboka
Pisi ikataka kulipwa povu linamtoka
Mwana kachimba na shuka mara pah! likadondoka

I say unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Juzi kati nilitoka sijui saa ngapi
Ninachokumbuka nilimkuta kwenye party
Zama room chapu chapu mi si nataka mikasi
Nikaskia piga vingapi na mfukoni una shingapi?

Kutana na mtoto ana nane figa
Smoking hot kama amenyonga wida
Samahani mum sick afu we ndo tiba
Kuwaonyesha wana picha si wote walishapiga

Kuna wana wana mishe za kisee
Gambe anagongea analewa afu mawenge
Yaani pisi kali hivi hivi tu upitishe wembe
Yaani huna gari, huna pesa alafu tu akupende?

I say unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Ameyatinga kinoma
Mwache acheze ajimwage
Tinga kinoma
Dj tena idondoshe

Ameyatinga kinoma
Mwache acheze ajimwage
Tinga kinoma
Dj tena idondoshe

Ecouter

A Propos de "Unaua Vibe "

Album : Unaua Vibe (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021 Bongo Records
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 08 , 2021

Plus de Lyrics de RAPCHA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl