Paroles de Una Par MIMI MARS


Mimi Mars ft Young Lunya & Marioo - Una lyrics

(RoofTop audio station)

Na anajiamini 
Halali nje analala na mimi
Ndani ndani

Wengine wa nini? Yeiye
Anadata anavyopewa na mimi
Chumbani chumbani

Una unanichanganya(Una una)
Unavyonifanya(Una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipazaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee

Hata kama nitakosea usininunie beiby
Niambie
Bana si unajua mwanadamu 
Niambie

Na unavyoninogesha
Ukija kuacha
Mwenzako nitajutia
Utanitoa roho, utanitoa roho

Habari za mjini kwani nini wee
Natoka na mimi kwani nini wee
Mchezo mchezo na baby wa mimi wee
Tulipotoka wanajua ni nini wee

Sema ukweli nishampata, nishamnasa
Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa
Chuma mimi ila sumaku ishamnasa
Pelekeni angaza huo wenu ushauri na sasa

Anavyozungusha hicho kiuno
Mimi ndo nazidisha miguno
Wanapataka sasa unavyowapatia michuno
Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno

Una unanichanganya(Una una)
Unavyonifanya(Una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipazaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya(Oooh yeah beib)
Umenishika pabaya
We bwana ni mbaya

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya(Aaah aah)
Umenishika pabaya
We dada ni mbaya

Una una, una una
Una una, una una

Ecouter

A Propos de "Una"

Album : Una (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Dec 20 , 2019

Plus de Lyrics de MIMI MARS

MIMI MARS
MIMI MARS
Mua
MIMI MARS
Ex
MIMI MARS

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl