...

Paroles de Upo Nami Par JAPHET ZABRON


Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Ukitaka kujua, ni yupi rafiki wa kweli anaeweza kusimama nawe

Ni ule wakati wapiti matatizo na shida yeye hujitokeza

Yule unaedhani nfiye anaweza kusimama pamoja nawe

Ndiye aweza kukukimbia unapo patwa na shida, hutompata

Kuna huyu rafiki mwema, hunisaidia katika hali zote

Watu wakinitenga yeye yupo hajawahi niacha

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Upepo mbaya, ulipovuma, machafuko ndani ya moyo wangu

Wewe, wewe myuliza mawimbi ukatuliza oo ooh

Nina historia na wewe, hujawahi kuniacha bwana

Hata sekunde moja, mimi ni aibike umekuwa ngao yangu

We yesu ndiwe rafiki mwema , unisaidia katika hali zote

Watu wakiniacha wewe upo, hujawahi kuniacha

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Haujawahi niacha, katika majira yote

Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote

Ecouter

A Propos de "Upo Nami"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Jul 19 , 2025

Plus de Lyrics de JAPHET ZABRON

JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl