
Paroles de Upo Nami
...
Paroles de Upo Nami Par JAPHET ZABRON
Haujawahi niacha, katika majira yote
Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote
Haujawahi niacha, katika majira yote
Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote
Ukitaka kujua, ni yupi rafiki wa kweli anaeweza kusimama nawe
Ni ule wakati wapiti matatizo na shida yeye hujitokeza
Yule unaedhani nfiye anaweza kusimama pamoja nawe
Ndiye aweza kukukimbia unapo patwa na shida, hutompata
Kuna huyu rafiki mwema, hunisaidia katika hali zote
Watu wakinitenga yeye yupo hajawahi niacha
Haujawahi niacha, katika majira yote
Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote
Haujawahi niacha, katika majira yote
Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote
Upepo mbaya, ulipovuma, machafuko ndani ya moyo wangu
Wewe, wewe myuliza mawimbi ukatuliza oo ooh
Nina historia na wewe, hujawahi kuniacha bwana
Hata sekunde moja, mimi ni aibike umekuwa ngao yangu
We yesu ndiwe rafiki mwema , unisaidia katika hali zote
Watu wakiniacha wewe upo, hujawahi kuniacha
Haujawahi niacha, katika majira yote
Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote
Haujawahi niacha, katika majira yote
Mungu upo name, we upo nami, katika nyakati zote
Ecouter
A Propos de "Upo Nami"
Plus de Lyrics de JAPHET ZABRON
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl