
Paroles de Sijawahi Achwa
...
Paroles de Sijawahi Achwa Par JAPHET ZABRON
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, hata kweney hatua zangu, na huyu yesu
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Ameniinua nakuicha aibu yangu huyu yesu
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Kwani we hujawahi kukumbuka, vipi umefika fikaje hapa
Maana sio rahisi
Mbona mi namjua jua fika, yupi uweza na uniwezesha
Ni huyu huyu yesu
Kuna jambo moja linalo nitia nguvu, mi niko na mtetezi wangu
Asijependa niaibike mimi
Hivi nilivyo ni huyu huyu yesu wangu, amefunika unyonge wangu
Kwanini nisi mshukuru mimi
Aibu ameiondoa, heshima kaniinulia
Ameniteta sikustahili, kuna muda unikinga na adui
Ametimiza ahadi ya kutoniacha
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, hata kweney hatua zangu, na huyu yesu
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Ameniinua nakuicha aibu yangu huyu yesu
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Usipoelewa mi nitarudi kesho, tuongee ukuu wa mungu tena
Natamani ugundue uwezo wake
Mimi si kitu bila huyu mungu, angeniacha ningekuwa wapi
Nathibitisha hajawahi niacha niteseke
Basin i nani kama huyu mungu, mwenye uwezo wakutenda haya
Najua hakuna mwingine mungu kama yeye
Na hapa ukiniona nang’ara na shine (ni yesu)
Ujue nimebebwa tu na neema, siri ni kumjua mungu
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Sijawahi achwa, hata kweney hatua zangu, na huyu yesu
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Ameniinua nakuicha aibu yangu huyu yesu
Sijawahi achwa, niaibike eeh
Ecouter
A Propos de "Sijawahi Achwa"
Plus de Lyrics de JAPHET ZABRON
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl