IBRAAH Asante cover image

Paroles de Asante

...

Paroles de Asante Par IBRAAH


Kumbe kucha najikongoja

Yani kama naanza moja

Nikitazama majumba magari

Sina hata bodaboda

Anaetoa mungu yangu nangoja

Na najitetea kwa hoja napambana

Maana leo bora jana afadhali

Dunia imejaa vioja yeeeh

Kama si wewe Mungu nimshukuru nani

Maana wapo wanaotamani nisingeiona leo

Nashukuru nipo

Mungu baba tupo duniani

Wengine tunaishi nao wafuasi wa shetani

Wanatamani hata wangepata chako cheo

Watupelekee simbo heee

Sishindani nao napiga majungu niwe na

Amani au sina furaha anaejua ni wewe Mungu eeeh

Sina tamaa na ninachojuwa sio langu fungu

Ninachojali Amani furaha

Na mimi sio mtaka cha uvungu

Asante kwa kunipa na pumzi tu

Asante asante Mungu

Japo maisha yangu sio yale ya juu

Asante asante baba

Mi sina budi kukushukuru

Asante asante Mungu

Japo maisha yangu sio yale ya juu

Asante asante baba (baba)

Nakataza moyo kwa kukata tamaa

Najikokota naanguka tena najiokota eh eh

Nakataza moyo nakujirahisi tamaa

Kutamani ambavyo sijui walipambania managapi vilikotoka

Napiga goti kwa Mungu wangu (Mungu wangu)

Ombi nisije aga dunia bila kupata nilicho kusudia

Umri unakwenda na nina familia inayoniangalia

Mungu wangu

Imani maombi yatatimia maana penye nia pana njia

Na wewe ndio wakunitimizia Mungu baba

Wewe ndio msaada (Aaah)

Si shindani na wanaonipiga majungu

Niwe na Amani au sina furaha anaejua ni wewe Mungu

Sina tamaa na ninachojua sio langu fungu

Ninachojali Amani furaha na mimi sio mtaka cha uvungu

Asante kwa kunipa ata pumzi tu

Asante asante Mungu japo maisha yangu sio ya juu

Sina budi kukushukuru

Asante asante Mungu

Japo maisha yangu sio ya juu

Asante asante baba

Mi sina budi kukushukuru

Asante asante Mungu

Japo maisha yangu sio ya ju

Asante asante baba oya baba baba babaa

Asante babaaa asante Mungu

Ecouter

A Propos de "Asante"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Sharon Abonyo
Published : Jul 11 , 2025

Plus de Lyrics de IBRAAH

IBRAAH
IBRAAH
IBRAAH

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl