ZUCHU Mauzauza cover image

Paroles de Mauzauza

Paroles de Mauzauza Par ZUCHU


(Mocco)

Funua usijipe mapana
Eti mwili kujitutumusha
Nitakutawanya 
Ka bahari na fimbo ya Musa

Umejigeuza soji
Si wa Corolla wala Vogi
Na hilo wala kufoji
Eti lina kupa kodi

Oooh leo nikome (Mwenye kiranga)
Hujalijua vizuri litimbwi ni la vanga (Mwenye kiranga)
Oooh leo boda umeyabana ka (Mwenye kiranga)
Mi maskini jeuri sitegemei madanga (Mwenye kiranga)

Mauza uza we mwana mauzauza
Si wamekushindwa kwenu
Walimwengu tutakufunza

Mauza uza we mwana mauzauza
Si wamekushindwa kwenu
Walimwengu tutakufunza

Unani ni kichwa cha chikichi
Umevaa kinu unatwangia mchi aah

Mwali kigego mwenye nyota ya mitara
Hivi kungwi wako nani wewe? (Atajijua)
Uso mitego imedoda biashara
Hueleweki si kunguru si mwewe

Wadala ubaki dala mwenzio mimi kibunja
Haufai kwa kafara si puzi wewe ni punja
Umejivesha ubezezi kwa mapana na marefu
Uso na kazi si wa ndala wala peku

Ooooh ondoa ndo mlezi wa hana
We ebu ndege zoa zoa'
Mwali pengo binti mwanya
Tuchunge kwa kudonyoa

Oooh leo nikome (Mwenye kiranga)
Hujalijua vizuri litimbwi ni la vanga (Mwenye kiranga)
Oooh leo boda umeyabana ka (Mwenye kiranga)
Mi maskini jeuri sitegemei madanga (Mwenye kiranga)

Oooh leo nikome (Mwenye kiranga)
Hujalijua vizuri litimbwi ni la vanga (Mwenye kiranga)
Oooh leo boda umeyabana ka (Mwenye kiranga)
Mi maskini jeuri sitegemei madanga (Mwenye kiranga)

Mauza uza we mwana mauzauza
Si wamekushindwa kwenu
Walimwengu tutakufunza

Mauza uza we mwana mauzauza
Si wamekushindwa kwenu
Walimwengu tutakufunza

(Hahaa kuvaa dera si kazi, kazi kulikamatia eeh)

Utayaweza yangu, yako yanakushinda
Utayaweza yangu, yako yanakushinda(Ooooh tikisa ndole)
Utayaweza yangu, yako yanakushinda(Uso kasi mwana wako)
Utayaweza yangu, yako yanakushinda (Oooh...nadilidadi)

Utayaweza yangu, yako yanakushinda 
(Usonoga kwa chumvi wala magadi)
Utayaweza yangu, yako yanakushinda

Ecouter

A Propos de "Mauzauza"

Album : I am Zuchu EP / Mauzauza (EP)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Apr 13 , 2020

Plus de lyrics de l'album I Am Zuchu

Plus de Lyrics de ZUCHU

ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl