ZUCHU Wana cover image

Paroles de Wana

Paroles de Wana Par ZUCHU


(Ayolizer)

Hunywi maji yakapita
Mi nkigunu na ushafika
Jina gani hujaniita beiby

Ushauri hutaki kabisa
Eti uniache nina visa
Vya Firauni vya Musa vingi

Nikilala naota kama unaniita
Nafumba macho, navuta shuka
Naona napumbazika

Unishikapo ndipo hapo
Nafarijika
Mambo yako, mahaba yako
Ndo maana natononoka wee

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Mikono tukapeana
Macho yakatizamana

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Namba kubadilishana
Nafsi kukubaliana aah!

Nzi kidonda nimefia
Wahenga walisema 
Maradhi yaweza yasiwe na dawa
Kwa penzi yakapona

Rabii, amenipa nusura
Jeuri sina tena
We ndo ganzi, umenimaliza hasira 
Siumwi wakisema

Nidekeze, niliwaze
Washushuke wanyamaze
Nikuna nibembeleze
Usinipepee nipulize

Watume washituke 
Roho zao ziwaume
Mi nipike ule chote
Unenepe upendeze 

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Mikono tukapeana
Macho yakatizamana

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Namba kubadilishana
Nafsi kukubaliana aah!

Ukitaka uniweze nibebe wewe
Ukipenda unibimbe unikumbatie
Hata watu watuone wakahadithie
Nitambulishe niringe niwavimbie

Ukitaka uniweze nibebe wewe
Ukipenda unibimbe unikumbatie
Hata Lizer atuone wakahadithie
Nitambulishe nitambe niwavimbie

(Wasafi)

Ecouter

A Propos de "Wana"

Album : Wana (Album)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Apr 10 , 2020

Plus de lyrics de l'album I Am Zuchu

Plus de Lyrics de ZUCHU

ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl